nimekumbuka mbali sana nilikuwa na safari buti nilizivaa kuanzia darasa la pili hadi la nne haziishi siku moja nikavizia madingi wametoka nikaenda kukitupa kimoja katika shimo la maji machafu ili ninunuliwe chachacha za Burundi.
Mzee Mwanakijiji we balaa kwa story kwa kifupi ni hadithi nzuri kama itawezekan uwe unatunga vitabu kabisa hata wale ambao kwao ni vigumu kutumia mtandao waweze kupata uhondo pia
Mzee Mwanakijiji we balaa kwa story kwa kifupi ni hadithi nzuri kama itawezekan uwe unatunga vitabu kabisa hata wale ambao kwao ni vigumu kutumia mtandao waweze kupata uhondo pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.