NASIKITIKA KUPOTELEWA NA NGUGU YETU MSHAURI WETU , MPAMBANAJI WETU NA JEMBE LETU HASA UKIJUA KWAMBA TANZANIA IANAHITAJI WATU MAKINI KAMA REGIA ILI TUFIKE KKATIKA UHURU WA KWELI WENYE TIJA KWA MAISHA YA MTANZANIA WA HALI YA CHINI
HIVYO NGUGU ZANGU NA WANA JF WENZANGU TUTAMUENZI VIPI...
NASIKITIKA KUPOTELEWA NA NGUGU YETU MSHAURI WETU , MPAMBANAJI WETU NA JEMBE LETU HASA UKIJUA KWAMBA TANZANIA IANAHITAJI WATU MAKINI KAMA REGIA ILI TUFIKE KKATIKA UHURU WA KWELI WENYE TIJA KWA MAISHA YA MTANZANIA WA HALI YA CHINI
HIVYO NGUGU ZANGU NA WANA JF WENZANGU TUTAMUENZI VIPI...
:juggle: NNA MASHAKA NA AKILI ZENU HASA YOU WHO SUPPORTED THE USED WOMAN HOW COMES IF YOU TAKE HER TO YUR HOME THEN AKAENDELEA OKUTOA HUDUMA NJE YA KITUO?
OK JIBU SASA
NOTHING IS THERE IN VIRGINITY RATHER THAN PRESTAGE
Nawashangaa nyie mnao mzogoa na kumnyooshea vidole mwenzenu bila kujua ni kwanini kaamua kufanya hivyo labda kuna kitu anakikosa kwa mume wake au ana yake tu lakini pia kama unataka kumsaidia mtu usimwendeekwa fujo namna hiyo sema nae taratibu thwn atakwambia kwanini anatembea na mume wa mtu...
Tatizo la tanzania na serikali yake ni kiherehere wanajifanya wako fresh kimilitary but wanachukifanya sasahivi ni kwamba wanaweka akiba ili ikifika 2015 wakati wa hukumu yao na wao wapate military support from them kwahiyo sio fea mkuu
Makamanda wa cdm ni makamanda wa kulinda demokrasia sasa hao wa hicho chama kilichopoteza dira nashindwa kuwaelewa kwani hawafai hata kuitwa makamanda maana kazi yao hawaijui kwan kazi ya makamanda ni kuhakikisha kuwa haki inatendeka wakati wote nasi kufanya fujo puuumbavu!!
Hawa polisi wengine wanawashwa sababu kazi yao si kupiga watu kazi yao ni mulinda wananchi na ieleweke kwamba wanalipwa kwa kazi ya kuwalinda wananchi kwahiyo naunga mkono hoja ya heche na kusisitiza kuwa vijana tuko macho kupambana na kila aina ya uonevu dhidi ya raia wema
Wana cdm tuna majembe mawili sugu anaweza kwani tulishuhudia antvirus ilivyokua kazi nzuri lakini pia tunaye roma mkatoliki jamani na ameapa kutorudisha kadi ya chama kama nakaya sumary kwahiyo naunga mkono hoja na haya majembe mawili yanatosha kabisa kumaliza hiyo shughuli
Jamani wana jf chadema ya 2011 siyo ile ya 2005. Chadema ina mizizi mikubwa na tayari chadema imeingia kwenye damu za watu sasa inabidi ifike mahali rtuondoe hufu na mashaka kwani tunaweza na cha msigi zaidi ni kwamba kura za igunga zitalindwa na wanaigunga peke yao kama ilivyokua arusha...
Jamani tz siyo masikini kwani tuna malighafi za kutosha tatizo hatuna vionguzi watakaoweza kuwaelekeza watu namna ya kutumia malighafi zinazowazunguka kwahiyo tatizo siyo malighafi tatizo ni usimamizi mbovu wa matumizi ya rasilimali za uma.labda kwa nia njema tu kwakua mjomba kayuongoza huu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.