Hzo gharama za billboard, kutengeneza t-shirt, kutengeneza kanga, kuita watu vikao, kugawa pesa kwenye vikundi, yoote hayo wangefungua hata mfuko wenye jina walipendalo alafu likawa linafanya juhudi za kusaidia na kuleta maendeleo kwa watanzania nadhan hzo kura wangezipata kirahisi mno kuliko hv...
October 2025 kama hawatotumia akili ya kwenda na msimamizi mkuu wa serikali aisee Kuna mmoja wa upinzani akiwa SMART anachukua ila huyo wa upinzani atatokea humohumo kwenye chama chao na atafata nyayo za JPM
Mfanyabiashara gani mwenye 100m+ unashindwa kujua kuwa nyumba n asset yaan wewe tumeshindwa kujua hata watu waliokuzungukuka wameshindwa kujua hata maafisa mikopo wameshindwa kukuelewesha.
Itakuwa huna hyo biashara kama unayo basi jua unakoelekea ni kwenye zile stori za unajua Mimi nilikuwaga...
Hyo n kwa nje tuu nikimaanisha sehemu nyeti, vidoleni, mgongoni, shingoni, hapo siku hyohyo unaanza pata majibu hapo utakuwa unabandua cover lilikwisha unakuwa na cover jipya kama nyoka
Biashara n nyingi Mzee Kuna nguo, viatu, saa, heren, bangili, michezo ya watoto, vyombo, vipodozi, spea za pikipiki na magari, decoration za nyumbani na magari, nguo za ndani, mtumba hvyo vyote Mzee ukininua hata hapa bongo unapata zaidi ya 30% kama faida kwenye mtaji wako baada ya kutoa Kila...
malembeka18 kama una passport muda na huo mtaji Kuna safari ya wafanyabiashara imeandaliwa mwez April kwenda Canton fair china kama upo tayari njoo tujiset
Ndugu biashara ni somo ambalo watanzania wengi hawakufaulu Kuna nyuzi nyingi sana za kuomba mawazo ya biashara gani mtu afanye na anaeomba ana mtaji mkubwa tuu lakini ushauri uliomo inabidi tufikirie kuoa mchaga tuu huenda ukapata wazo zuri la biashara.
1. Jingalie kama wewe ni mtu wa biashara...
Mambo ambayo hayatija tija kwenye biashara au shughuli zako usipende kujishughulisha nayo, mmetufanya tufikirie mara mbili tatu na mwenendo wa chama chenu hasa sie tuliopigania chama enzi hzo bonyai akiwa hata Bado redbriged.
Unaelewa maana ya black market?
Kwenye black market kitu kikiwa kinauzwa huko sokoni 100 basi black market unakipata kwa chini ya hapo mpaka nusu Bei.
Rate unayoiona kwenye website za BUREAU au BOT kamwe huwez badilisha nayo pesa wenye pesa ambazo n bank na taasisi za kifedha huzibadilisha kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.