Zipo NGO zinamfumo huo wa kuwa na volunteers au interns alafu baadaye wanawapa full employment. Ila wapo wengine ni wanyonyaji wanakutumia alafu wanakutupa.
As long as hujapata full employment unaruhusiwa ku apply kazi as much as you can. Labda kama ulipo unaona possibility ya kuajiriwa.
Pia ni kongezea: Mchunga sio salad bali ni wild lettuce. Salad ni aina ya mboga inayoota kama magugu maji na inapatikana kwa wingi Arusha na Moshi hasa katika maeneo yenye maji maji au mifereji. Jina Mchunga ni la kiswahili
Sikulazimishi ila naomba niseme wewe hujui unachosema na utakuja kujua baadaye utakapoacha ushindani ukakaa kujifunza.
Usilishe watu uongo. Haijalishi uongo umesemwa na watu wengi haimaanishi ni ukweli. Usiku mwema
Kama lilivyo jina lako basi ndivyo ulivyo. Najivunia kuwa graduate wa SUA na najivunia kuwa mtaalamu wa Kilimo. Hujui kilimo tulia wala usilete porojo.
Tusibishane mkuu. Ila usidanganye na heshimu tasnia za watu. Umesema wewe ni mtu wa lishe hivyo naheshimu tasnia yako.
Sijakosea hata moja na tukubaliane kutokukubaliana katika hili
Sijui nikujibuje lakini kilimo ni utaalamu au sayansi ya vitendo. Ni kama utaalamu mwingine wowote. Ukienda SUA utaelewa zaidi maana zipo shahada zaidi ya 20 tofauti za kilimo
Kilimo tunakisoma kwa kiingereza. Unavijua kama mtaalamu wa lishe kwa lugha ipi?
Majina yote niliyoyayoa nipo sahihi na nina uhakika 100% na ukitaka scientific names pia nitakupa. Hata ukitaka ingredients za hizo mboga na mazao nitakupa pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.