Kuna jamaa aliahidi atakunya kaja jana kijiweni hajaja toka atoke nduki ile jumapili wana wakamnunulia kiepe kiroho safi kwamba ni utani wa jadi wali asiogope kwani aliongea kwa mihemko ya kishabiki ebwanaa eeh baada ya kumaliza watu wakambadilikia wanataka mavi si aliahidi atakunya
Hayo makosa ya kupumzisha watu yalitugharimu kwa ihefu anzisha winning team akiwamudu na unaongoza goli tatu pumzisha watatu hizi game za mkoani ukitaka kupumzisha unaeza ambulia sare au ukachapwa bora ungekuwa dar
Onana ataondoka na kiatu msimu huu ndo kawaida yake huanza taratibu ila likiwaka anakuwa wa moto kwa mujibu wa simu ambayo etoo amewapigia simba hiv karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.