Recent content by 7son

  1. 7

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ushindi wa kishindo kwa Rais Samia katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 utachochewa na mgombea mwenza kuwa Dr. Nchimbi

    Nimefuatilia siasa ya nchi yetu kwa muda mrefu na nimejiridhisha kwa Tanzania ya sasa hakuna mwingine anayestahili kuwa rais zaidi ya Samia Suluhu Hassan. Hakuna yeyote kutoka upinzani anaweza kujilinganisha na Samia kwani rais wetu ni mnyenyekevu, msikivu, ana wivu na nchi yake na ni mpenda...
  2. 7

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Aweso tusaidie wakazi wa Kawawa road na vitongoji vyake- Wilaya ya Moshi

    Shida ni kubwa sana mkuu
  3. 7

    JamiiForums Tanzania KERO Waziri Aweso tusaidie wakazi wa Kawawa road na vitongoji vyake- Wilaya ya Moshi

    Waziri, wakazi wa Kawawa Road na vitongoji vyake tunapitia changamoto kubwa sana ya kupata maji. Pamoja na kuwa tupo chini ya mlima Kilimanjaro ambapo kuna vyanzo vingi vya maji lakini suala la upatikanaji maji limekuwa changamoto kubwa sana kwani maji yanatoka mara moja kwa wiki tena kwa muda...
  4. 7

    JamiiForums Tanzania Mrisho Gambo ni Hazina kwa taifa

    Nimekuwa nikimfuatilia Mhe. RC Mrisho Gambo kwa muda mrefu juu ya utendaji wake wa kazi, nimejiridhisha kuwa ni kijana mchapakazi, mnyenyekevu, anayejali wananchi, hajikwezi, anafuata sheria za nchi ipasavyo. Ukiona juzi alivyotoa maelekezo kwa mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu mkandarasi...
  5. 7

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai amtaka Prof. Assad(CAG) kufika mbele ya kamati ya maadili vinginevyo atapelekwa kwa pingu

    Ile abdili iliyosomwa kipindi kile cha Tundu Lisu kushambuliwa halitawaacha watu salama
  6. 7

    JamiiForums Tanzania CAG akaidi agizo la Rais. Aenda Nairobi, Kenya bila kibali

    acha vituko mkuu
  7. 7

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Ni ukweli usiopinga kwa spidi ya JPJM Mwigulu ndiye PM sahihi.
  8. 7

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Bahi Omary Baduel ameshinda kesi ya Rushwa iliyokuwa inamkabili

    Una akili sana mkuu,kula LIKE
  9. 7

    JamiiForums Tanzania Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

    Angalien TBC now ucku wa habari
  10. 7

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri: Mkutano wa Tundu Lissu, Heche, Munishi na Ndesamburo mjini Moshi

    Lissu amfananisha Zitto na Yuda Iskariote....adai alipkea vipande 30 ili aisaliti chama lakini CDM haiko tayari kuning'inizwa msalabani kama YESU
  11. 7

    JamiiForums Tanzania Mch. Peter Msigwa (Mb), atukana

  12. 7

    JamiiForums Tanzania Nimeamini sasa, dada Saro kapigwa risasi, mama mkubwa kauwawa!

    Acha ukabila ww pole sana Ima....Ufo Mungu akuponye haraka maana bado ana makusudi na ww ...RIP mama mkubwa
  13. 7

    JamiiForums Tanzania Tamko la Jukwaa la Wahariri kuhusu kufungiwa kwa magazeti ya Mwananchi na Mtanzania

    Kama wahariri wenyewe ndo hao unategemea nn...
Back
Top Bottom