Mafanikio hayapimwi kwa GPA kubwa or less, Cha mno unayo connection ya hayo ma accounting and finance?
👉Ni afadhali jielekeze kwenye kilimo,start with what you have with what you can......
🤗🤗🤗🤗
Write your reply... It's in a danger zone the generation we're having considering homosexuality as a right. Lesbian and gay are in grave misfortune, even the nation is at risk.
Nahisi mtoa post hana watoto, na siku wakipata KOJO LA GANZI YA Ukweli hautatoa post mbovumbovu,
Mzee kamaliza NGO zenu hizi mnataka shule zetu ziwe sarakasi za mapenzi na vituo vya kulelea wazazi?
Mtoa post hajielewi kabisa, pamoja na kutoa takwimu zote hizo, akumbuke kuwa TANZANIA KUNA...
MKUU aliyemaliza muda alisema FEDHA HIZO SI ZA UMMA, mbona chokochoko tena kuhusu Nyoka wa makengeza???
Usiulize swali lililojibiwa na JK wa 2.
Ila kivumbi hiki, sioni wa kuweka kifua chake mbele, yale yale tu kuendelea kutumia nguvu kubwa lakini mwisho wa siku utaambiwa WAMEHUKUMIWA MIAKA 4...
JAMANI TUIWEKE VIZURI SENTENSI, TUSEME
"WAUAJI WA KIBITI SI MAJAMBAZI".
Ukisema jambazi utakuwa umebadili taswira, na mjamaa kwa hasira ukitamka MAJAMBAZI yanajisemea moyoni "wanaotafutwa si sisi wauaji bali Majambazi wasaka pesa "
Polisi badilisheni kauli, si kila tukio eti Jambazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.