Nakushauri kausha tuu, abaki na hizo talaka 2, kupata mtu muaminifu siku hizi ngumu sana,
Mke wako anakupenda ndio maana anashiriki pamoja na wewe mambo ya kimaendeleo, na anajiweka dhamana kama hivyo usikwame
Dharau gani sasa hapo, wewe kwa akili yako one on one, Israel anamuweza Iran?
Hint moja tuu, Israel hamna anachoweza kufanya bila kumtumia US kama shield na financier, Iran akimchapa Israel, ujue kamchapa US, UK, Fr. na wengineo
Kalindwa na nchi ngapi huyo Israel? Unaanzisha ugomvi unaenda kujificha nyuma ya mwenyekiti wa kikao chenu cha ukoo, na bado unapigwa makofi kama kumi, kisha unaenda kulalamika UN, Kumaamaae mna bahati, bila msaada wa US, UK, Fr, na Jordan israel wangekuwa wanakusanya vipande vya rofali mda huu...
Hivi mmesahau USA alipigwa na Iran makombora kwenye base yake pale Iraq na hajawahi kujua yalituaje na patriot ilikuwepo na hakufanya chochote japokuwa wanajeshi wake walikufa na wengi wana watatizo ya akili japokuwa walijifungia kwenye ma bunker. Tena kipindi cha trump, nae alipiga kimya kama...
Kuna miaka ya nyuma nilimpeleka mdogo wangu shopping alikuwa ndio anaingia form 1, tumezunguka kweli mwenge, tumefika duka flani ananunua shuka akaona na chupi bhana akaropoka kaka ninunulie na chupi sina za kutosha, daah niliona noma sana, mpaka waliokuwa wapo dukani wakageuka kutuangalia...
Hizo nyumba za milioni 15 chanika/tandika ni za udongo? nimeaoma story yako nkajua una akili, mwishoni nikatambua hata huko zanzibar haujajenga hii ni chai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.