Amenichumbia lakini hataki Ndoa

Ukwelinasema

JF-Expert Member
Feb 10, 2021
364
380
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa.

Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa, mimi na mwenza wangu tuna miaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa.

Kama mjuavyo, desturi zetu za Kiafrika baada ya mahari mnaulizwa tarehe ya Ndoa ndivyo ilivyokuwa na kwetu pia ila mwenzangu aliomba ajipange sababu hakuwa vizuri kwa kipindi hicho hivyo wazazi walimkubalia.

Sasa napata maswali mengi kutoka kwa wazazi na ndugu wakiniuliza ndoa lini mpaka nakosa majibu sababu nikimuuliza mwenzangu ananiambia nina haraka gani nisubiri.

Kilichonifanya nije kwenu ni kuomba ushauri je niko sahihi kuendelea kutumikia majukumu yangu ya ndoa kwa mgongo wa kuchumbiwa au nimechutama choo cha kiume?
 
Watu wanatoa mpaka mahari afu anakuzungusha kwenye ndoa kuna mwanangu huyo ndo zake mahari anatoa fresh.
Screenshot_20210904-182815.jpg
 
Kisheria, mmeshakaa miaka mitatu ni zaidi ya mumeo. Wewe unacholilia ni makaratasi na vigelegele vya wanazengo.

Sasa dada, hata kama umechutama kwenye choo cha kiume, je cha kike kipo? Kama hakuna choo cha kike, endelea kushusha mzigo.

Nachomaanisha ni kuwa, sawa huyo mwanaume huenda hana nia kukuoa, je yupo ambaye yupo tayari kukuoa? Kama hakuna, endelea tu kuvuta subira kwa jamaa.

Kutoa mahari ni moja ya hatua kubwa, kuliko kuanza upya. Yaani ukae, umtafute jamaa mwingine mkae miaka mitatu na zaidi akutombe kisawasawa alafu ndiyo aamue kukuchumbia na baadae kukuoa.

Mimi nadhani wamfahamu zaidi jamaa yako. Kama unaiona nia yake basi endelea kuvumilia. Kama vipi, nenda katafute wa kukuoa kama unaamini una thamani bado.
 
Kisheria, mmeshakaa miaka mitatu ni zaidi ya mumeo. Wewe unacholilia ni makaratasi na vigelegele vya wanazengo.

Sasa dada, hata kama umechutama kwenye choo cha kiume, je cha kike kipo? Kama hakuna choo cha kike, endelea kushusha mzigo.

Nachomaanisha ni kuwa, sawa huyo mwanaume huenda hana nia kukuoa, je yupo ambaye yupo tayari kukuoa? Kama hakuna, endelea tu kuvuta subira kwa jamaa.

Kutoa mahati ni moja ya hatua kubwa, kuliko kuanza upya. Yaani ukae, umtafute jamaa mwingine mkae miaka mitatu na zaidi akutombe kisawasawa alafu ndiyo aamue kukuchumbia na baadae kukuoa.

Mimi nadhani wamfahamu zaidi jamaa yako. Kama unaiona nia yake basi endelea kuvumilia. Kama vipi, nenda katafute wa kukuoa kama unaamini una thamani bado.
Mpuuzi sana huyu dada naona anataka kuchezacheza tu pale kwenye korido ya ukumbini. Atulie nadhani anajuta sana kuleta huu uzi hapa.
 
 
Kama mnaishi wote haraka ya nini?
Kasema ajipange..kama kwenu Wana haraka wawe tayari kugharamia harusi
Harusi haina gharama, sherehe ndo ina gharama, ambayo sio lazima ufanye sherehe kama huna uwezo.
Ila mimi namuelewa mwamba, wanaume tukiwa tunapata kila ambacho mume anatakiwa apate, tunakua wazito sana kuchukua hatua ya kufunga ndoa. Kwa sababu sisi tunafanya vitu kwa logic. Najiuliza, kwani hapa nikienda kufunga nae ndoa kanisani, kuna kitu kipya kinaongezeka? Hakuna.
Sasa kwa nini niumize kichwa, nipoteze muda na rasilimali kufanya kitu ambacho before and after will be exactly the same?
Hapo ungekua bado hauishi nae, mwamba angelazimishia hata wafunge tu ndoa bila sherehe, kwa sababu baada ya hapo kutakua na big changes kulinganisha before and after.
 
Back
Top Bottom