Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,179
- 3,539
Wana JF wenzangu, nilikuwa nimepanga maeneo ya Kimara miaka kadhaa iliyopita. Kutokana na changamoto ya maisha, kazi nilikuwa sina nikaenda kuishi kwa bamkubwa ili nijipange upya.
Kwa sasa nimekaa miezi minne kwake leo asubuhi kaniambia “nimekupa siku 30 uondoke kwangu”.
Wakuu naombeni msaada wapi pakuanzia? Nifanye nini? Nianzie wapi?
Kwa sasa nimekaa miezi minne kwake leo asubuhi kaniambia “nimekupa siku 30 uondoke kwangu”.
Wakuu naombeni msaada wapi pakuanzia? Nifanye nini? Nianzie wapi?