Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,784
Paliondokea ugonjwa wa ajabu unaopukutisha wana wa Mungu na wana wa shetani kwa kasi ya aina yake wala tiba haikuwahi kupatikana popote..watu wakafa sana na wa kufaana nao wakafaidika hasa
Katika nchi moja ya kufikitiks..taifa pendwa sana akaondokea nabii mbeba maono mtiwa mafuta kwa muhuri wa moto..akatoa ufunuo uliowapa ujasiri na uponyaji watu wake...akawaambia hakuna ugonjwa bali hofu ndio ugonjwa wenyewe ...watu wakaamini na ikawa hivyo..hata wale waliokufa ikasenekana ni hofu ndio ilitembea nao.
Kikapita kitambo maisha yakasonga na nabii mteule sana akasifiwa kwa umahiri wa kiimani, kwakuwa alitangaza maombi ya nguvu kwa siku kadhaa mpaka ugonjwa ukatoka baru.
Siku zimepinduka mpaka zikapindika kumetokea shida ya changamoto za kupumua katika taifa teule ..watu wanapukutika kwa kasi ya tano g.
Ewe nabii mteule wa Mungu mbeba maono makuu uko wapiii maombi yako wapiiii ni vilio kila kona. Mungu yule aliyekusikia kipindi kile yuko wapi asikie hata sasa!? Au kakupa kisogo? Kwanini?
Katika nchi moja ya kufikitiks..taifa pendwa sana akaondokea nabii mbeba maono mtiwa mafuta kwa muhuri wa moto..akatoa ufunuo uliowapa ujasiri na uponyaji watu wake...akawaambia hakuna ugonjwa bali hofu ndio ugonjwa wenyewe ...watu wakaamini na ikawa hivyo..hata wale waliokufa ikasenekana ni hofu ndio ilitembea nao.
Kikapita kitambo maisha yakasonga na nabii mteule sana akasifiwa kwa umahiri wa kiimani, kwakuwa alitangaza maombi ya nguvu kwa siku kadhaa mpaka ugonjwa ukatoka baru.
Siku zimepinduka mpaka zikapindika kumetokea shida ya changamoto za kupumua katika taifa teule ..watu wanapukutika kwa kasi ya tano g.
Ewe nabii mteule wa Mungu mbeba maono makuu uko wapiii maombi yako wapiiii ni vilio kila kona. Mungu yule aliyekusikia kipindi kile yuko wapi asikie hata sasa!? Au kakupa kisogo? Kwanini?