Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
1. Njia ya kwanza ni kupeana likizo yaani hii ndio njia pekee kila mmoja kujitafakari lakini kipindi mkiwa likizo mara moja moja mnakuwa mkiwa wasiliana mpka inafika hatua mnapotezana taratibu
2. Njia ya pili ni kumfanya mpenzi wako awe your best friend yaani unatakiwa kuishi nae kama rafiki mpaka inafika hatua anazoea
3. Njia ya tatu ni kusafiri kwenda mbali na yeye iwe kikazi au kibiashara. Hii hali inapochukua muda mrefu taratibu mtaanza kusahauliana
4. Njia ya nne ni kusex nae mara kwa mara mpaka mwenyewe atakuchoka itafika hatua atakukinai atakuona huna issue tena
5. Njia ya tano mwambie una hisia una dalili za HIV
Kama kuna njia nyingine hebu tupia hapa
2. Njia ya pili ni kumfanya mpenzi wako awe your best friend yaani unatakiwa kuishi nae kama rafiki mpaka inafika hatua anazoea
3. Njia ya tatu ni kusafiri kwenda mbali na yeye iwe kikazi au kibiashara. Hii hali inapochukua muda mrefu taratibu mtaanza kusahauliana
4. Njia ya nne ni kusex nae mara kwa mara mpaka mwenyewe atakuchoka itafika hatua atakukinai atakuona huna issue tena
5. Njia ya tano mwambie una hisia una dalili za HIV
Kama kuna njia nyingine hebu tupia hapa