October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,995
Niende kwenye mada
Leo mtaani kulikuwa na ubishi mkubwa, mimi nipo peke yangu, wenzangu kama 5.
Ipo hivi: Jamaa wanasema hapa Tanzania huwezi kumiliki/kufikisha 30M bila kujihusisha na ushirikina/ulozi, yaani kivyovyote vile ili kugusa hicho kiasi kwenda juu ni lazima uwe umejihusisha kivyovyote vile na shirki. Mie ukweli nilikuwa napinga sana.
Hii ipoje?
Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo mtaani kulikuwa na ubishi mkubwa, mimi nipo peke yangu, wenzangu kama 5.
Ipo hivi: Jamaa wanasema hapa Tanzania huwezi kumiliki/kufikisha 30M bila kujihusisha na ushirikina/ulozi, yaani kivyovyote vile ili kugusa hicho kiasi kwenda juu ni lazima uwe umejihusisha kivyovyote vile na shirki. Mie ukweli nilikuwa napinga sana.
Hii ipoje?
Mshana Jr
Sent using Jamii Forums mobile app