shirima Mathias
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 451
- 1,320
Ni hivi:
Nimejikalia zangu bar na ki elfu tano changu cha mawazo, na sasa najipatia kakinywaji kangu uchwara ka balimi huku nacheki mechi ya spurs na arsenal.
Wakati mimi nakunywa kibalimi changu cha mawazo waliokuja jirani zangu masharobaro wamekuja kunivamia mezani na wameagiza maSAVANA na manyama na huku wanajilia kwa mapozi huku wakiwa hawana mpango hata wa kumaliza maSAVANA yao wala manyama yao
Kwa hivi nimetega angalau kama watabakiza manyama na machipsi yao nijifanye nayachukua kupelekea mbwa kumbe naenda kula
Hivo mniombee wayaache kweli maana sio kwa njaa hii.
Maendeleo hayana vyama
Nimejikalia zangu bar na ki elfu tano changu cha mawazo, na sasa najipatia kakinywaji kangu uchwara ka balimi huku nacheki mechi ya spurs na arsenal.
Wakati mimi nakunywa kibalimi changu cha mawazo waliokuja jirani zangu masharobaro wamekuja kunivamia mezani na wameagiza maSAVANA na manyama na huku wanajilia kwa mapozi huku wakiwa hawana mpango hata wa kumaliza maSAVANA yao wala manyama yao
Kwa hivi nimetega angalau kama watabakiza manyama na machipsi yao nijifanye nayachukua kupelekea mbwa kumbe naenda kula
Hivo mniombee wayaache kweli maana sio kwa njaa hii.
Maendeleo hayana vyama