Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 1,745
- 4,277
Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM) ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele amewasili Bungeni Dodoma, baada ya kuagizwa na Spika Job Ndugai kufika mbele ya Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge, kujibu tuhuma zinazomkabili za utovu wa nidhamu