Bashe: CCM acheni unafiki, nimenyanyaswa na Usalama wa Taifa

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899


Mbunge wa Nzega Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hussein Bashe, amesema kua kuna watu wamemtumia ujumbe yeye ni miongoni mwa watu 11 waliopo katika hatari ya kufanyiwa vitu vibaya popote pale walipo.

Mbunge huyo ameeleza kuwa amefahamishwa na baadhi ya Mawaziri kuwa ndani ya Idara ya usalama wa Taifa kuna kikundi ambacho kinahusika na utekaji wa watu.

Bashe aliendelea kusema kuwakuna wabunge 11 wapo kwenye orodha ya kutekwa na kuondolewa uhai.

huein.jpg


Kufuatia vitisho hivyo alivyo pewa Husein Bashe ameitaka serikali na bunge lake kuto fumbia macho vitendo hivyo viovu vya wananchi kutekwa na watu wasio jilikana.

husein.jpg


Kwa hapa tulipofika, ni wazi kuwa JPM ajitafakari na baadhi ya watu wanaomzunguka. Kuna hali ya tahayari katika Taifa.
 
Bashe na Zitto Wanaropoka uongo na uzushi bungeni kwa sababu wanajua Wana kinga kwa wanayoongea ya uzushi wao ndani ya bunge.Haya ndio yalisababisha bunge kukataliwa kuonyeshwa live sababu baadhi ya wabunge wamekuwa wakitumia kama kijiwe cha kuzusha uzushi wowote usio na ushahidi
 
Bashe na Zitto Wanaropoka uongo na uzushi bungeni kwa sababu wanajua Wana kinga kwa wanayoongea ya uzushi wao ndani ya bunge.Haya ndio yalisababisha bunge kukataliwa kuonyeshwa live sababu baadhi ya wabunge wamekuwa wakitumia kama kijiwe cha kuzusha uzushi wowote usio na ushahidi
Ulikuwepo kwenye kikao cha Serikali cha kuafikia kukataa kuonesha live bunge na hii ndo moja ya sababu?? (Moja ya hadidu za rejea). Je mlikaa wapi? na ilikuwa tarehe ngapi? Nani alitoa hoja hiyo na kuungwa mkono na wajumbe wote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom