Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
Nimepewa kipeperushi hapa
Kuna ibada inatwa sijui ya kukanyaga mafuta..
Yani mguu unauma.. Kila mtu nenda kwa mwamposa.. Yani utapona kabisa.. Imani yako tu
Mwingine tena kanijia na kipeperushi leo na maji waliyouziwa yana upako. Na kipande vha keki ukubwa kama pipi toffee kinfungwa kwenye nailoni.
Naambiwa omba halafu kula hiyo shushia na hayo maji
Iam speechless
Sipendi haya makanisa local. Sijui kwanini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ibada inatwa sijui ya kukanyaga mafuta..
Yani mguu unauma.. Kila mtu nenda kwa mwamposa.. Yani utapona kabisa.. Imani yako tu
Mwingine tena kanijia na kipeperushi leo na maji waliyouziwa yana upako. Na kipande vha keki ukubwa kama pipi toffee kinfungwa kwenye nailoni.
Naambiwa omba halafu kula hiyo shushia na hayo maji
Iam speechless
Sipendi haya makanisa local. Sijui kwanini
Sent using Jamii Forums mobile app