Uzinduzi channel ya Utalii TBC Timu ya ufundi ifumuliwe yote itumbueni

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Niko naangalia uzinduzi wa Channel ya Utalii TBC Live Timu ya ufundi ni wabovu mno na mtangazaji pekee aliyeni impress walau kuonyesha vivutio ni wa mbuga ya mikumi tu hao wengine wa ngorongoro na Zanzibar bure kabisa.

Wa Zanzibar hakuonyesha vivutio wa ngorongoro kaishia kuonyesha Ngoma za utamaduni .Hilo la vivutio ndio lilikuwa lenyewe sio mahojiano .TBC hamkujipanga.

Ikitakiwa mtangazaji akitangaza direct vivutio vinaonyeshwa kwa Kasi kwa nini msingeshirikiana Na bodi ya Utalii walau wawape Clip mkaunga Na watangazaji wakisema hivi ndio vivutio vinaanza kuonyeshwa.

TBC tafuteni au azimeni watangazaji toka bodi ya Utalii au ajirini wazoefu toka private sector Na mtafute mafundi mitambo wengine vijana wazoefu hao waliopo ni crap.

Hata quality ya picha very poor nyeusi nyingi wakati ni mchana kweupe.Board Na management replay hizo video za tukio mfanye self assessment wenyewe you were too low kwa event kubwa kama hiyo
 
Tunataka BUNGE LIVE! Hizo nyengine zote ni mbwembwe tu!

Sasa tunaomba mutueleze mumekata Bunge Live kwa sababu ya ku save pesa, sasa hii munafanya nini? Munafunga programmes katika channel kwa kisingizio cha austerity measures lakini munafunguwa channel mpya nyengine nzima kutangazia utaliia ambao mumeuuwa kwa ujinga wenu wenyewe. Hakuna anaye support ushoga lakini wakati mwengine ni bora just kushut up na kuupinga kwa vitendo vya kimya kimya!
 
Mkurugenzi wa TBC,,siioni akiiboresha shirika la utangazaji tangu aingie zaidi ya mbwembwe tu akiwa anaongea yule baba,,,
Apigwe chini awekwe mkurugenzi mwingine atakaeiboresha
 
MTU mwenyewe kajaa chuki kwa wenye mawazo tofauti! Jicho linamtoka Pima kusikia unampinga mtukufu!
 
Kuna mwaka nikiwa Zambia niliona kipindi cha utalii wakizungumzia vivutio vilivyopo Zambia,Zimbabwe na Tanzania ila nilishangaa kuona yale matangazo ZNBC wakionesha vivutio kama daraja la Mungu(Tukuyu),lake ngozi na maeneo mengine mengi yaliopo Tanzania kitu ambacho huwezi kuona kutoka TBC kwa jinsi walivyo wazembe...
 
TBC tafuteni au azimeni watangazaji toka bodi ya Utalii au ajirini wazoefu toka private sector Na mtafute mafundi mitambo wengine vijana wazoefu hao waliopo ni crap.


Huko mbugani walitakiwa watangazaji wenye taaluma ya utalii au wanyamapori, lakini pia wanaweza kuwa na wataalam wazuri wa kutangaza huko kwenye vivutio huku wakiwa na mitambo hafifu, na hii inaukweli maana Rioba amesema uanzishwaji wa studio hiyo una gharama kubwa lakini wameanza na kidogo kwanza
 
Imekaa vizuri, Picha ziko vizuri, maudhui pia yana uzito. Kwenye yale maneno ya awali ya ukaribisho yamesomwa na watu wawili,Sauti ya kwanza nadhani ni ya Shabaan Kisu, haina mvuto ukilinganisha na sauti ya mtu wa pili. Nashauri yafanyike mabadiliko asome huyo wa pili.
 
Niko naangalia uzinduzi wa Channel ya Utalii TBC Live Timu ya ufundi ni wabovu mno na mtangazaji pekee aliyeni impress walau kuonyesha vivutio ni wa mbuga ya mikumi tu hao wengine wa ngorongoro na Zanzibar bure kabisa.Wa Zanzibar hakuonyesha vivutio wa ngorongoro kaishia kuonyesha Ngoma za utamaduni .Hilo la vivutio ndio lilikuwa lenyewe sio mahojiano .TBC hamkujipanga.Ikitakiwa mtangazaji akitangaza direct vivutio vinaonyeshwa kwa Kasi kwa nini msingeshirikiana Na bodi ya Utalii walau wawape Clip mkaunga Na watangazaji wakisema hivi ndio vivutio vinaanza kuonyeshwa.TBC tafuteni au azimeni watangazaji toka bodi ya Utalii au ajirini wazoefu toka private sector Na mtafute mafundi mitambo wengine vijana wazoefu hao waliopo ni crap.Hata quality ya picha very poor nyeusi nyingi wakati ni mchana kweupe.Board Na management replay hizo video za tukio mfanye self assessment wenyewe you were too low kwa event kubwa kama hiyo
Siyo TBC, ni TBCCM....tangu lini taasisi inayohusiana na fisiemu ikafanya kazi kwa ubora?
 
Kazi yao nyepesi ni Kuipamba CCM na kuuponda Upinzani.. Na Wafanyakazi waliyo ajiriwa TBC walikua tayari kwa hayo tu.. Huku kwenye utalii Mtawaonea bure
Hata hivyo TBC imeshaongelewa sana Mapungufu yake lakini hayakupewa uzito Maana ilikua ni Sauti ya Wapinzani.
Tupige Kazi Mkuu..
 
hapo ndo tulipokosa weledj wa kiutendaji ambao unaweza leta tija kwa Taifa.Watendaji wengi ufanis kidogo
 
Siyo TBC, ni TBCCM....tangu lini taasisi inayohusiana na fisiemu ikafanya kazi kwa ubora?
Huyu mtangazaji wao uwa ananichekesha sanaa.
Screenshot_2018-12-12-20-34-51.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom