Per Week
Member
- Jul 19, 2018
- 92
- 232
Habari zenu humu ndani, natumai wote ni wazima. Mimi ni kijana mwenye miaka 29, nahitaji mke kutoka humu au nje ya humu jf. Nimekuja humu kwa kuwa nina amini hili ni jukwaa la great thinkers hivyo waliomo ni watu wazima na wanaojielewa.
Sifa za Mke nayemhitaji;
Sifa Zangu mimi;
Sifa za Mke nayemhitaji;
- Awe na elimu kuanzia form 4 na kuendelea.
- Awe mcha Mungu ( awe na hofu ya Mungu).
- Awe dini yoyote.
- Rangi yoyote na kimo chochote.
- Awe Kabila lolote kasoro Waha.
Sifa Zangu mimi;
- Nina elimu ya shahada ya kwanza
- Ninaishi Daressalaam, japo nasafiri mara kwa mara Dodoma( hivyo ni Dar na Dom).
- Nina Nyumba moja na magari mawili( kirikuu na Harrier).
- Dini yangu ni Mkristo japo sibagui Muislamu( nipo tayari kuishi na dini yoyote).
- Nina fanya kazi kwenye taasisi ya kimataifa na pia ninafanya shughuli za kilimo kwa kiasi kikubwa sana.