Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,498
- 86,015
Baada ya kupita mikoa kadhaa kwa kipindi cha hivi karibuni, nimegundua kuwa kuna uhaba mkubwa sana wa kondom kwenye baadhi ya Wilaya nchini. Nimefika sehemu husika na kila nilipouliza niliambiwa kuwa zimekwisha.
Nilijaribu kuongea na Wadau wa kondomu hizo kwa maana ya Watumiaji na walikiri kuwa "wanakwenda ngozi kwa ngozi". Si jambo jema wala la kufurahisha, na sio jambo la kufanyia mzaha wala kuweka siasa. Je tatizo liko wapi kwanini kondomu hazisambazwi? Je hii dhana niliyokutana nayo kuwa hazisambazwi ili baadhi ya watu waweze kuuza kondomu zao ni kweli??
Tusipobadilika tutegemee maambukizi makubwa zaidi mwakani.....
Nilijaribu kuongea na Wadau wa kondomu hizo kwa maana ya Watumiaji na walikiri kuwa "wanakwenda ngozi kwa ngozi". Si jambo jema wala la kufurahisha, na sio jambo la kufanyia mzaha wala kuweka siasa. Je tatizo liko wapi kwanini kondomu hazisambazwi? Je hii dhana niliyokutana nayo kuwa hazisambazwi ili baadhi ya watu waweze kuuza kondomu zao ni kweli??
Tusipobadilika tutegemee maambukizi makubwa zaidi mwakani.....