Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,429
hili suala nimekuwa nikilifikiria sana., kwa muda mrefu sana. nmekuwa nikisoma watu mbalimbali wakizungumzia vis ana mikasa ya maofisini. najikuta kukweli wakati mwingine nawaza maybe wife asiwe anafanya kazi.abaki tu nyumbani kucheck familia n.k
nimekuwa nikimsoma jamaa mmoja anaitwa GuDume huyu jamaa nilikuwa namchukia sana mwanzoni.lakini baadaye nilijifunza kitu toka kwake.katika mambo negative anayooandika kuna positive pia. sina chuki naye kwa sasa nimejifunza kum mwangalia kwa ukaribu mke wangu na pia kuc hange kuendana na mazingira. kuna post moja alizungumzia ule usemi wa ukimchekea mke huzai naye... binafsi nimekuwa mpole sana kwa mke wangu hata tunaposex. nilianza kuwa nachange na siku nimechange mapigo alifurahi sana na badaye aliniuliza nimepatwa na nini?au nilikunywa viagra? nlifurahi mchana akizungumza na mwenzie kuwa amechoka ile mbaya maana baba xxxx amempa kipigo cha mbwa mwizi.
kiukweli kabla nilikuwa namwona jamaa na mhuni,malaya tu.ila kuna mambo mazuri yamo kwenye threads zake.tujifunze. tatizo linabaki tabia yake ya kula wake za watu.. hapo ndo naona tutashikana mashati. huko makazini na ninatamani kujua anafanya kazi wapi. isije ikawa anakula wake zetu.ingawa pia vituko ambavyo anavisema vipo nami nimewahi kushuhudia kwa mfanyakazi mwenzangu. sasa nawaza je nimwachishe kazi wife? awe anafanya tu biashara ambayo haimlazimu sana kuwa mbali? sipendi watu wahuni wahuni kama akina gudume kuzengea wake zetu sisi wastaarabu.
nimekuwa nikimsoma jamaa mmoja anaitwa GuDume huyu jamaa nilikuwa namchukia sana mwanzoni.lakini baadaye nilijifunza kitu toka kwake.katika mambo negative anayooandika kuna positive pia. sina chuki naye kwa sasa nimejifunza kum mwangalia kwa ukaribu mke wangu na pia kuc hange kuendana na mazingira. kuna post moja alizungumzia ule usemi wa ukimchekea mke huzai naye... binafsi nimekuwa mpole sana kwa mke wangu hata tunaposex. nilianza kuwa nachange na siku nimechange mapigo alifurahi sana na badaye aliniuliza nimepatwa na nini?au nilikunywa viagra? nlifurahi mchana akizungumza na mwenzie kuwa amechoka ile mbaya maana baba xxxx amempa kipigo cha mbwa mwizi.
kiukweli kabla nilikuwa namwona jamaa na mhuni,malaya tu.ila kuna mambo mazuri yamo kwenye threads zake.tujifunze. tatizo linabaki tabia yake ya kula wake za watu.. hapo ndo naona tutashikana mashati. huko makazini na ninatamani kujua anafanya kazi wapi. isije ikawa anakula wake zetu.ingawa pia vituko ambavyo anavisema vipo nami nimewahi kushuhudia kwa mfanyakazi mwenzangu. sasa nawaza je nimwachishe kazi wife? awe anafanya tu biashara ambayo haimlazimu sana kuwa mbali? sipendi watu wahuni wahuni kama akina gudume kuzengea wake zetu sisi wastaarabu.