Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,743
- 3,017
Habari zenu wapendwa,
Mwaka miaka 2 iliyopita nilikutana nilikuwa na mahusiano na mkaka x, nilikuwa nae kwa miezi nane bila kugundua tofaut yoyote. Siku ya siku nakuja kugundua Yule mkaka alikuwa ana mke wa ndoa kabisa, aisee niliishiwa pozi.
Nilimlaumu sana kwasababu huwa sipendi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu. Nilianza kumpotezea taratibu japo nilimuelewa lakini jamaa hakutaka iwe hivyo.
Nilichogundua ni kwamba hawajawahi kuwa na mtoto(hawana mtoto)na tatizo lipo kwa mkewe hvyo nia yake sasa anataka nizae nae na yupo tayari kwa lolote
Nikijiangalia mimi hali yangu hohehahe sina kazi wala bazi alafu tena nikabebe mimba kweli huyo baba si atachoka kulea lakini jamaa hataki kunielewa yeye anataka nishike mimba mmh.
Nikamwambia basi dini yetu inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja nioe tu hata kimya kimya alafu tufanye hcho utakacho kagoma, kasema anataka kwanza ahakikishe kama imekubali alafu mengine yatajulikana mbele, naona dalili ya kuwa single mom tena kwa kujitakia huku ila namuelewa mjamaa kinoma
nimebaki dilema sijui hata nifanyaje nikiangalia wanaume ni wachache wanawake tumejazana rundo ndo nazidi kuchoka.
Mwaka miaka 2 iliyopita nilikutana nilikuwa na mahusiano na mkaka x, nilikuwa nae kwa miezi nane bila kugundua tofaut yoyote. Siku ya siku nakuja kugundua Yule mkaka alikuwa ana mke wa ndoa kabisa, aisee niliishiwa pozi.
Nilimlaumu sana kwasababu huwa sipendi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu. Nilianza kumpotezea taratibu japo nilimuelewa lakini jamaa hakutaka iwe hivyo.
Nilichogundua ni kwamba hawajawahi kuwa na mtoto(hawana mtoto)na tatizo lipo kwa mkewe hvyo nia yake sasa anataka nizae nae na yupo tayari kwa lolote
Nikijiangalia mimi hali yangu hohehahe sina kazi wala bazi alafu tena nikabebe mimba kweli huyo baba si atachoka kulea lakini jamaa hataki kunielewa yeye anataka nishike mimba mmh.
Nikamwambia basi dini yetu inaruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja nioe tu hata kimya kimya alafu tufanye hcho utakacho kagoma, kasema anataka kwanza ahakikishe kama imekubali alafu mengine yatajulikana mbele, naona dalili ya kuwa single mom tena kwa kujitakia huku ila namuelewa mjamaa kinoma
nimebaki dilema sijui hata nifanyaje nikiangalia wanaume ni wachache wanawake tumejazana rundo ndo nazidi kuchoka.