A alaykum wapendwa mm kuna kaka nimetokea kumpenda kutoka moyoni nakiri nimempenda huyu kaka kiukweli.huyu kaka nitampa jina x.nilikutana nae week mbili zilizopita lakin nakiri kuwa nimemuelewa(mm ni mtu mzima najua kuchanganua zuri na baya sio kwa vigenzo vyangu kanitidhisha) .
Tatizo huyu x yeye anashindwa kunielewa mm.mm ni binti mwenye miaka 24 nina mtoto yahn namaanisha nina maisha yangu .kiukweli ingawa na umri huo nilionao mm ni miongoni mwa mabinti amabao wamebeba majukumu mapema namaanisha na majukumu ambayo mengine bila mm hayawezi kwenda ni lazima nisimame kama mm ndio kila kitu kana kuwa poa.
Sasa huyu mwenzangu tatizo linakuja pale ninapoamua kutimiza majukumu yangu ndio yeye hapo huisi kuwa mm muda wote nafikilia wanaume tu.hali hiyo ua yeye kunihisi vibaya kwa kila nifanyalo inanipelekea nafsi yangu kuwa na maumivu makali some times nawish awe karibu yangu zaidi yahni tuwe pamoja kwa kila nalifanyalo ili apate kuamini.
Jana nilikuwa na safar asubuh ya kwenda Ardhi nilimfahamisha hivyo nae akaelewa sasa wakati narudi pia nikapigiwa simu tena ya dharura natakiwa niende Muhimbiri haraka .kitendo cha kumwambia mm naenda muhimbili ndio imekuwa chanzo cha tatizo ambacho kimepelekea yy kutokupokea simu yangu wala kijibu message zangu imshort kaniblock.
Sasa wapendwa mm naomba kufahamu huyu x ana mapenzi na mm au ananipotezea time maana nashindwa kumuelewa tunaweza kuongea vizuri tunapanga vizuri lakini yeye kubadilika na kuwa na hasira kwake ni dk moja.mpaka dk ya sasa ninavyoandika hii thread sijielew kweli nampenda lakin ananipa mawazo sana.naombeni ushauri wenu jinsi ya kuishi na huyu x au hakuna love hapa nisonge mbele.
NB :Sitaki matusi wala kejeli kwenye page yangu toa ushaur kulingana na uelewa wako hauna ushaur fanya kama huoni au akijaandika kitu.karibunk
Tatizo huyu x yeye anashindwa kunielewa mm.mm ni binti mwenye miaka 24 nina mtoto yahn namaanisha nina maisha yangu .kiukweli ingawa na umri huo nilionao mm ni miongoni mwa mabinti amabao wamebeba majukumu mapema namaanisha na majukumu ambayo mengine bila mm hayawezi kwenda ni lazima nisimame kama mm ndio kila kitu kana kuwa poa.
Sasa huyu mwenzangu tatizo linakuja pale ninapoamua kutimiza majukumu yangu ndio yeye hapo huisi kuwa mm muda wote nafikilia wanaume tu.hali hiyo ua yeye kunihisi vibaya kwa kila nifanyalo inanipelekea nafsi yangu kuwa na maumivu makali some times nawish awe karibu yangu zaidi yahni tuwe pamoja kwa kila nalifanyalo ili apate kuamini.
Jana nilikuwa na safar asubuh ya kwenda Ardhi nilimfahamisha hivyo nae akaelewa sasa wakati narudi pia nikapigiwa simu tena ya dharura natakiwa niende Muhimbiri haraka .kitendo cha kumwambia mm naenda muhimbili ndio imekuwa chanzo cha tatizo ambacho kimepelekea yy kutokupokea simu yangu wala kijibu message zangu imshort kaniblock.
Sasa wapendwa mm naomba kufahamu huyu x ana mapenzi na mm au ananipotezea time maana nashindwa kumuelewa tunaweza kuongea vizuri tunapanga vizuri lakini yeye kubadilika na kuwa na hasira kwake ni dk moja.mpaka dk ya sasa ninavyoandika hii thread sijielew kweli nampenda lakin ananipa mawazo sana.naombeni ushauri wenu jinsi ya kuishi na huyu x au hakuna love hapa nisonge mbele.
NB :Sitaki matusi wala kejeli kwenye page yangu toa ushaur kulingana na uelewa wako hauna ushaur fanya kama huoni au akijaandika kitu.karibunk