Bacyclerbacy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,743
- 3,017
Habari za leo, natumaini mu wazima wa afya kwa uweza wa M/Mungu.
Twende kwenye mada;
Kijana mzuri, mtanashati ametokea kunipenda kulingana na maelezo yake na matendo pia, kulingana na uchache wa wanaume nikaona sio case ngoja nimsikilize tuliongea mengi tukaelewana lakini kabla hatujafanya chochote nilimuomba tukapime kwanza.
Sikuamini macho yangu majibu yalikuja yule mkaka ameathirika, nililia sana kwasababu nimeshaanza kumpenda ila kwa bahati nzuri nilikuwa na subira hivyo hatukuwa kufanya chochote kile zaido ya kuongea kwa miezo m3 sasa najisikia vibaya sijui hata nimsaidiaje.
Najitahidi nisiwe mbali nae ili asijisikie vibaya ila naona kama anakuwa na hasira sana anasema namchora eti kwanini mambo ya kutambulishana kwa wazazi yamesimama, nikiamua kukaa kimya analalamika. Akaamua kukaa kimya nayeye kwa muda mrefu miezi mi2 lakini sasa ananitafuta na kuniomba iwe hivyo.
Nashindwa jinsi ya kumsaidia hapo ila lengo lake lilikuwa anioe 90% niliamini alikuwa na nia hiyo kwani ametumia gharama nyingi wakati tukitaka kuonana hadi huruma, lakini mimi naogopa sana kuwa nae japo siijui kesho yangu nitakufa na nini.
Sasa inawezekan kuolewa na mtu mwenye UKIMWI na nisipate maambukizi?
NAOMBENI USHAURI
Twende kwenye mada;
Kijana mzuri, mtanashati ametokea kunipenda kulingana na maelezo yake na matendo pia, kulingana na uchache wa wanaume nikaona sio case ngoja nimsikilize tuliongea mengi tukaelewana lakini kabla hatujafanya chochote nilimuomba tukapime kwanza.
Sikuamini macho yangu majibu yalikuja yule mkaka ameathirika, nililia sana kwasababu nimeshaanza kumpenda ila kwa bahati nzuri nilikuwa na subira hivyo hatukuwa kufanya chochote kile zaido ya kuongea kwa miezo m3 sasa najisikia vibaya sijui hata nimsaidiaje.
Najitahidi nisiwe mbali nae ili asijisikie vibaya ila naona kama anakuwa na hasira sana anasema namchora eti kwanini mambo ya kutambulishana kwa wazazi yamesimama, nikiamua kukaa kimya analalamika. Akaamua kukaa kimya nayeye kwa muda mrefu miezi mi2 lakini sasa ananitafuta na kuniomba iwe hivyo.
Nashindwa jinsi ya kumsaidia hapo ila lengo lake lilikuwa anioe 90% niliamini alikuwa na nia hiyo kwani ametumia gharama nyingi wakati tukitaka kuonana hadi huruma, lakini mimi naogopa sana kuwa nae japo siijui kesho yangu nitakufa na nini.
Sasa inawezekan kuolewa na mtu mwenye UKIMWI na nisipate maambukizi?
NAOMBENI USHAURI