Unataka Tumbo Flat na Six Packs? Cheki Hapa

Castr

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
31,979
64,000
9k%3D.jpg
Sit_up_Crunch_M_WorkoutLabs.png
200px-Crunches-2.png
img_20150410_163518.jpg
oblique-situp1.jpg
IMG_20170201_091400.jpg
1485932262367.jpg
 
Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
 
Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
Itakua ulizidisha idadi ya reps wakati wewe ni beginner kwenye hilo zoezi.
Hata hivyo usingeacha ungepunguza idadi ya ulzofanya jana yake, mpaka ungekaa sawa na gari lingewaka kimoja.
 
MAZOEZ YANAHITAJI MOYO WA CHUMA NA SALA...MIMI NILINENE MPAKA NIKITEMBEA KIFUA KINATIKISIKA NYAMA,,NIKAPIGA DIET PLAN YANGU MOJA KWA WIKI MBILI NIKAWA KAMA MODEL SASA NDO NATAKA NIINGIE GIM SEMA NATAKA MWALIM NIMWELEZE NAVOTAKA KUA MAANA MAFUTA YOTE NIMETOA
 
Daah kuna zoezi niliangalia youtube linafanana kidogo na hilo la pili ila lenyewe unanyanyua magoti unaleta tumboni. Siku ya kwanza nimefanya siku ya pili sasa maumivu chini ya kitovu utasema kizazi kinachomoka. Bado najifikiria niendelee au niache. Ngoja nisubscribe hapa kwanza
Kuna kosa kubwa sana mnafanya wanawake, si kila zoezi ni lakufanya mwanamke, kuna mazoezi wanawake hasa ambao hawajazaa au wanaendelea kuzaa hawaruhusiwi kabisa kufanya. ndo maana ni vizuri kwenda kwenye gym zenye wataalamu bobevu
 
MAZOEZ YANAHITAJI MOYO WA CHUMA NA SALA...MIMI NILINENE MPAKA NIKITEMBEA KIFUA KINATIKISIKA NYAMA,,NIKAPIGA DIET PLAN YANGU MOJA KWA WIKI MBILI NIKAWA KAMA MODEL SASA NDO NATAKA NIINGIE GIM SEMA NATAKA MWALIM NIMWELEZE NAVOTAKA KUA MAANA MAFUTA YOTE NIMETOA
Share diet plan yako hapa mkuu, utakua umefanya service kwa wanaJF wenzako.
 
Kuna kosa kubwa sana mnafanya wanawake, si kila zoezi ni lakufanya mwanamke, kuna mazoezi wanawake hasa ambao hawajazaa au wanaendelea kuzaa hawaruhusiwi kabisa kufanya. ndo maana ni vizuri kwenda kwenye gym zenye wataalamu bobevu
Sasa mkuu kama sina hela ya gym niendelee kubaki na kitambi changu? Hilo zoezi niliangalia youtube niliona wanafanya wanawake. Nishauri basi zoezi la kufanya
 
Kuna kosa kubwa sana mnafanya wanawake, si kila zoezi ni lakufanya mwanamke, kuna mazoezi wanawake hasa ambao hawajazaa au wanaendelea kuzaa hawaruhusiwi kabisa kufanya. ndo maana ni vizuri kwenda kwenye gym zenye wataalamu bobevu
Ni kweli kabisa mkuu.
Ila ujio wa steroids na extreme workouts zimesababisha mitandaoni tuone wadada wakiwa na firm six packs, hizi zinawafanya baadhi ya wanawake kutamani wanachokiona.
 
Back
Top Bottom