christina sabbas
Member
- Oct 3, 2016
- 74
- 23
Habari zenu wa JF. Mimi ni mwanafunzi nmemaliza certificate in business administration. Chuoni kwetu ni lazima tufanye field kwanzia certificate na kuendelea. Nlikua naomba mawazo yenu tu nikafanyie wapi field. Tafadhali naomba mnisaidie kimawazo