Serikali yangu umekatisha ndoto zangu za masomo

jerrysonkiria

JF-Expert Member
Sep 5, 2014
2,232
2,884
Naongea hili kwa masikitiko makubwa,na nikikumbuka kauli yako Rais ndio napata uchungu zaidi ,pale ulipo sema utahakikisha wote watakaochaguliwa elimu ya juu watapata mkopo

Nasitisha mwaka wa masomo mpaka pale nitakapopata pesa ya ada,maana hali yangu hairuhusu mimi kusoma kwa sasa.Kama nisipotoa milioni moja na elfu hamsini sisajiliwi na mzazi wangu kupata laki tano mpaka asubiri kuuza mpunga wake tena anaweza asipate hiyo pesa kwa haraka kama chuo wanavyo hitaji.

Nakushukuru JPM na HAPA KAZI TU
 
Naongea hili kwa masikitiko makubwa,na nikikumbuka kauli yako Rais ndio napata uchungu zaidi ,pale ulipo sema utahakikisha wote watakaochaguliwa elimu ya juu watapata mkopo

Nasitisha mwaka wa masomo mpaka pale nitakapopata pesa ya ada,maana hali yangu hairuhusu mimi kusoma kwa sasa.Kama nisipotoa milioni moja na elfu hamsini sisajiliwi na mzazi wangu kupata laki tano mpaka asubiri kuuza mpunga wake tena anaweza asipate hiyo pesa kwa haraka kama chuo wanavyo hitaji.

Nakushukuru JPM na HAPA KAZI TU
Wakati wa kampeni,mliambiwa ELIMU BURE MPAKA CHUO KIKUU,lkn mlikata mkachaguaa viwanda......but usikate tamaa kuna waliofanikiwa bila kuwa na elimu ya chuo kikuu
 
Naongea hili kwa masikitiko makubwa,na nikikumbuka kauli yako Rais ndio napata uchungu zaidi ,pale ulipo sema utahakikisha wote watakaochaguliwa elimu ya juu watapata mkopo

Nasitisha mwaka wa masomo mpaka pale nitakapopata pesa ya ada,maana hali yangu hairuhusu mimi kusoma kwa sasa.Kama nisipotoa milioni moja na elfu hamsini sisajiliwi na mzazi wangu kupata laki tano mpaka asubiri kuuza mpunga wake tena anaweza asipate hiyo pesa kwa haraka kama chuo wanavyo hitaji.

Nakushukuru JPM na HAPA KAZI TU
KUPANGA NI KUCHAGUA" Tulichagua elimu bure hadi f4 tukakataa elimu bure hadi chuo kikuu. Hayo ndo madhara ya kudanganyika. Ila sikulaumu we Bali wazazi wetu walituangusha. "Pole sana" 2020 nadhani hatuta rudia makosa haya kwani so mbali.
 
Duu! pole,ila usikate tamaa haraka hivyo jaribu kuvuta subira,wazazi waokotezeokoteze nina matumaini hamwezimkaanza masomo ghafla lazima kunaweza kukawa wiki ya usajili hivyo awamu nyingine ya utolewaji wa majina ya waliobahatika inaweza kukukuta katika harakati na ukaendelea na masomo kuliko kuahirisha mwaka harakaharaka.
 
KUPANGA NI KUCHAGUA" Tulichagua elimu bure hadi f4 tukakataa elimu bure hadi chuo kikuu. Hayo ndo madhara ya kudanganyika. Ila sikulaumu we Bali wazazi wetu walituangusha. "Pole sana" 2020 nadhani hatuta rudia makosa haya kwani so mbali.
nashukuru ,tutafanya maamuzi sahihi 2020
 
Duu! pole,ila usikate tamaa haraka hivyo jaribu kuvuta subira,wazazi waokotezeokoteze nina matumaini hamwezimkaanza masomo ghafla lazima kunaweza kukawa wiki ya usajili hivyo awamu nyingine ya utolewaji wa majina ya waliobahatika inaweza kukukuta katika harakati na ukaendelea na masomo kuliko kuahirisha mwaka harakaharaka.
Usajili unafungwa tarehe 21 na leo ni 17 na ndio inaishia kesho ni 18 hiyo milioni nitaitoa wapi within 3 days mkuu
 
Naongea hili kwa masikitiko makubwa,na nikikumbuka kauli yako Rais ndio napata uchungu zaidi ,pale ulipo sema utahakikisha wote watakaochaguliwa elimu ya juu watapata mkopo

Nasitisha mwaka wa masomo mpaka pale nitakapopata pesa ya ada,maana hali yangu hairuhusu mimi kusoma kwa sasa.Kama nisipotoa milioni moja na elfu hamsini sisajiliwi na mzazi wangu kupata laki tano mpaka asubiri kuuza mpunga wake tena anaweza asipate hiyo pesa kwa haraka kama chuo wanavyo hitaji.

Nakushukuru JPM na HAPA KAZI TU
Hamna nyumba hapo ? Mm natafuta nyumba ya kununua inayoshabihiana Na hiyo hela unayohitaji.Halaf wambie watu wako wawe macho 2020.
 
Naongea hili kwa masikitiko makubwa,na nikikumbuka kauli yako Rais ndio napata uchungu zaidi ,pale ulipo sema utahakikisha wote watakaochaguliwa elimu ya juu watapata mkopo

Nasitisha mwaka wa masomo mpaka pale nitakapopata pesa ya ada,maana hali yangu hairuhusu mimi kusoma kwa sasa.Kama nisipotoa milioni moja na elfu hamsini sisajiliwi na mzazi wangu kupata laki tano mpaka asubiri kuuza mpunga wake tena anaweza asipate hiyo pesa kwa haraka kama chuo wanavyo hitaji.

Nakushukuru JPM na HAPA KAZI TU
Pole sana mkuu, ila kwani hii ndio itakuwa awamu ya mwisho ya kutoa majina ya walionufaika na mkopo?

Si kuna batch zitakazofuata?
 
Back
Top Bottom