Vivuli vitatu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,782
1468298675932.jpg
Naandika nikiamini Ulishawahi kujiuliza kuhusu kivuli chako ama la kusikia walau kuhusu ushirikina unaohusisha kivuli. ...Lakini naamini kabisa hukuwahi kudhani kuwa unavyo vivuli vitatu
Vivuli hivi vitatu havionekani muda wote bali wakati wa jioni jua linapozama au usiku kwenye mbalimwezi angavu
Kivuli kidogo kabisa
Kivuli cha kati
Kivuli cha nje

Hiki kidogo kabisa ni kivuli cha ndani ni nafsi (roho + mwili )hiki ndio kinabeba utu au uhai kwa maana nyingine. Ni kupitia kivuli hiki ndio mambo yote ya kudhuru mwili hufanyika, ndio mzizi wa vivuli vyote

Kivuli cha kati ni daraja kati ya kivuli kidogo na kile kikubwa, yani ni kiunganishi kati ya roho na mwili. ndio hiki ambacho hutumika kuleta uhai tiba au marekebisho kwa kivuli kidogo kilichotekwa kufungwa au kuharibiwa kwa namna yoyote ile

Kivuli kikubwa hiki ni kivuli mwili kivuli cha kawaida kivuli kinachoonekana muda wote...hiki ni kivuli kinachobeba mwili uharibikao na kupotea ni kivuli jumba cha vivuli vingine vyote
1468299628478.jpg
Kama ulivyo huu mchoro hapa haukamiliki ukitoa kipande kimoja ndani yake. hivyo hivyo na vivuli hivyo huwezi kuvitenga kawaida bali katika ulimwengu wa roho tuu
Kama ilivyo nafsi tatu katika mwili mmoja (me myselfand I)ndio hivyo hivyo ilivyo hata kwenye vivuli vya mwili wako


NB: mada hii ni kwa msaada mkubwa wa dada divine...
 
Kuna mtu aliniambia huwa kivuli cha mtu kinachukuliwa kinaenda sijui kulogwa huwa inakuaje kaka liweke sawa hili mkuu
 
View attachment 365412Naandika nikiamini Ulishawahi kujiuliza kuhusu kivuli chako ama la kusikia walau kuhusu ushirikina unaohusisha kivuli. ...Lakini naamini kabisa hukuwahi kudhani kuwa unavyo vivuli vitatu
Vivuli hivi vitatu havionekani muda wote bali wakati wa jioni jua linapozama au usiku kwenye mbalimwezi angavu
Kivuli kidogo kabisa
Kivuli cha kati
Kivuli cha nje

Hiki kidogo kabisa ni kivuli cha ndani ni nafsi (roho + mwili )hiki ndio kinabeba utu au uhai kwa maana nyingine. Ni kupitia kivuli hiki ndio mambo yote ya kudhuru mwili hufanyika, ndio mzizi wa vivuli vyote

Kivuli cha kati ni daraja kati ya kivuli kidogo na kile kikubwa, yani ni kiunganishi kati ya roho na mwili. ndio hiki ambacho hutumika kuleta uhai tiba au marekebisho kwa kivuli kidogo kilichotekwa kufungwa au kuharibiwa kwa namna yoyote ile

Kivuli kikubwa hiki ni kivuli mwili kivuli cha kawaida kivuli kinachoonekana muda wote...hiki ni kivuli kinachobeba mwili uharibikao na kupotea ni kivuli jumba cha vivuli vingine vyote View attachment 365413Kama ulivyo huu mchoro hapa haukamiliki ukitoa kipande kimoja ndani yake. hivyo hivyo na vivuli hivyo huwezi kuvitenga kawaida bali katika ulimwengu wa roho tuu
Kama ilivyo nafsi tatu katika mwili mmoja (me myselfand I)ndio hivyo hivyo ilivyo hata kwenye vivuli vya mwili wako


NB: mada hii ni kwa msaada mkubwa wa dada devine...
Niliwahi kusikia juu ya haya mambo,ngoja kwanza ni confirm cha kwangu kwanza ndio tutaendelea na mjadala,kwa sasa sitaweza kuchangia hii kitu.
 
Mi nishaproove, ni simple tu. Kama upo ndani ya chumba ambacho kinapiga jua asubuhi kaa karibu na ukuta utaviona clear kabisa. Au funga dirisha washa taa iliyo ktk ceiling board simama nyuzi tisini usawa wa taa kisha angalia vivuli
 
Hongera Mshana Jr. Mi na swali moja kama si mawili... Je utajuaje huna kivuli kimoja kati ya hivyo na nini madhara yake kama hauna kivuli kimoja wapo?
Haiwezekani kabisa kukosa kimojawapo kwakuwa ni sehemu ya mwili wako
 
Mi nishaproove, ni simple tu. Kama upo ndani ya chumba ambacho kinapiga jua asubuhi kaa karibu na ukuta utaviona clear kabisa. Au funga dirisha washa taa iliyo ktk ceiling board simama nyuzi tisini usawa wa taa kisha angalia vivuli
Asante sana kwa mrejesho na msaada
 
Back
Top Bottom