haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 837
- 1,550
Kwakweli nimeona wengi wakisema ukiwaendekeza ndugu hutafika popote, siwezi sema sitafika popote ila kwa suala la ndugu mimi ni mmoja wapo wa waathirika, kiwango cha pesa nnachotumia binafsi ni kidogo sana mana sina starehe yoyote maarufu kama pombe, burudani au pamba kali nk. Niko simple, ila asilimia 30- 40 ya kipato nadhan ni ndugu. Ugumu ni kua kwa mazingira tuliokua hata ndugu anaweza asikuombe ila unaona kabisa ni jukumu lako kufanya hivyo.
Sasa unakuta siku zinaenda mambo yako pale pale. Nawezaje kubalance hivi vitu ? With minimal effects ?
Sasa unakuta siku zinaenda mambo yako pale pale. Nawezaje kubalance hivi vitu ? With minimal effects ?