mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Katika Katiba ya Tanzania Ibara ya 143 ina mpangilio wa hatua za nidhamu kwa mtu yoyote ya kujieleza wakati ukitoa maoni lakini hakuna nidhamu ya kujieleza.
Hawa watu wangekuwa wamekula rushwa au ufisadi hata kama wangekuwa wamefanya miaka nyuma sana wangesema wakati huu lakini hakuna namna kwasasa Assad na lissu ni wasafi katika yote hayo.
Yani wanatumia ukosoaji wa Assad kuwa bunge ni dhaifu kumtaka ajiuzulu inaonesha ni kwa kiasi gani ni muadilifu katika utumishi wake wa umma.
Pia wanatumia ukosoaji wa lissu kwa serikali hii dhaifu kwasasa kuwa ametumwa na mabebari, na kupata tatizo la kupigwa risasi 38 kuwa ni bora angekufa inaonesha ni kwa kiasi gani lissu alivyo muadilifu katika maisha yake.
Nilichogundua ni kwamba ukitaka kusimamia ukweli na wewe uwe msafi kweli , maana wengi wanashindwa kusimamia ukweli kwa sababu walishawahi kuharibu mahali.
Ndugai anafanya wagogo wote waonekane magogo tu.
Baadhi tumetoka makabila yaliyokuwa na watemi wachawi wengine watemi waliokufa kwaajili ya watu wao,Assad na Lissu wapo tayari kufa kwaajil ya watu wote. Nasema naomba Mungu awabariki maisha yao yote.
mr mkiki
Hawa watu wangekuwa wamekula rushwa au ufisadi hata kama wangekuwa wamefanya miaka nyuma sana wangesema wakati huu lakini hakuna namna kwasasa Assad na lissu ni wasafi katika yote hayo.
Yani wanatumia ukosoaji wa Assad kuwa bunge ni dhaifu kumtaka ajiuzulu inaonesha ni kwa kiasi gani ni muadilifu katika utumishi wake wa umma.
Pia wanatumia ukosoaji wa lissu kwa serikali hii dhaifu kwasasa kuwa ametumwa na mabebari, na kupata tatizo la kupigwa risasi 38 kuwa ni bora angekufa inaonesha ni kwa kiasi gani lissu alivyo muadilifu katika maisha yake.
Nilichogundua ni kwamba ukitaka kusimamia ukweli na wewe uwe msafi kweli , maana wengi wanashindwa kusimamia ukweli kwa sababu walishawahi kuharibu mahali.
Ndugai anafanya wagogo wote waonekane magogo tu.
Baadhi tumetoka makabila yaliyokuwa na watemi wachawi wengine watemi waliokufa kwaajili ya watu wao,Assad na Lissu wapo tayari kufa kwaajil ya watu wote. Nasema naomba Mungu awabariki maisha yao yote.
mr mkiki