Msaada:Kwa wanaosoma au kuvifahamu Vyuo vya Ualimu.

Naomba kujua vyuo vya ualimu ambavyo vipo free kiasi ktk kufundishwa chuoni na wanafunzi hawabanwi sana kuingia Class kwa ajili ya Attendance na mwanafunzi anaweza kuingia class sometime na anaweza kufanya mambo mengine nje ya chuo...
Kwa vyuo vinavyotoa bachelor za education ktk science and arts ndani ya DSM.
 
Back
Top Bottom