TOP 10 makapuku tishio JF

Bitoz

JF-Expert Member
Aug 27, 2015
30,823
126,534
Nawatakia jumapili yenye baraka
Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani makapuku/underground/wasio maarufu /Member wapyaJF wenye:

Most points

1/Phillipo Bukilo
2/MKWEPA KODI
3/Einstein newton
4/.............
5/YEHODAYA
6/Jimena
7/Pohamba
8/Barbarosa
9/Th Name
10/Mwanahabari Huru
*****************

SOURCE;
/>Notable Members | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
hongereni!!!

.................................................................
LIST INACHANGE ANYTIME KWAHIYO LINK INABADILISHA LIST...
................................................................

Jokes;
Phillipo Bukilo verified user wa kitaa?
MKWEPA KODI Ukishikwa na Anko Magu sitakutetea !
Th Name ur name is?
Barbarosa Ni kisiwa gani hiki?
Einstein newton hujavumbua ht kishada
Bansen burner halafu Kemia una F
Mwanahabari Huru mbona hutoi habari za makapuku?


Dogo Kauzu
The Bitoz
 
Hata wasipocomment...message sent !!! Wamenuna hawataki kufunikwa !! Ingekuwa ni list ya kusifia wakongwe/mkongwe/maarufu ungeona rundo la hongera

Sisi tunajipongeza wenyewe
Halafu inabidi ufanye ku-acknowledge kwa mtu aliyekuonyesha hiyo link, siyo unajisifu peke yako.
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom