Serikali3
Senior Member
- Jun 8, 2014
- 110
- 74
Kuna dada mmoja ameajiriwa hivi karibuni sasa cha kushangaza ameolewa kama mwaka mmoja hivi uliopita lakini amejiriwa nje ya mkoa wa Dsm.
Mume wake anaishi Dar kilichonifanya nilete hii post ni baada ya kumuona mazoea ya haraka ya kuchat na boss hasa kwenye WhatsApp.
Baadae wakaanza kutoka naye kimapenzi na huyo mdada kuanza kujigamba na kuonesha anaongea sana na boss wake huyo.
Lakini cha kushangaza huyu mdada ana unafiki wa hali ya juu sana pale anapoweka kwenye wall yake nakupenda sana mume wangu, mara sijaona kama wewe, wewe ndio kila kitu kwangu, mara asante yetu wewe ni mwokozi wangu, huku akiendekeza michepuko, sijui nini hasa sababu yake ya kuchepuka.
Mume wake anaishi Dar kilichonifanya nilete hii post ni baada ya kumuona mazoea ya haraka ya kuchat na boss hasa kwenye WhatsApp.
Baadae wakaanza kutoka naye kimapenzi na huyo mdada kuanza kujigamba na kuonesha anaongea sana na boss wake huyo.
Lakini cha kushangaza huyu mdada ana unafiki wa hali ya juu sana pale anapoweka kwenye wall yake nakupenda sana mume wangu, mara sijaona kama wewe, wewe ndio kila kitu kwangu, mara asante yetu wewe ni mwokozi wangu, huku akiendekeza michepuko, sijui nini hasa sababu yake ya kuchepuka.