SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS
Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:
1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.
2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
Hodi humu!
Naitwa Husna The BossLady, naishi Dar. Inshallah tutaendelea kufahamiana zaidi ila kama una swali kunihusu karibu.
.....
Kwa niaba ya maswali yote yalioulizwa:
* Mnaotaka kunifahamu...
Habari zenu. naitwa Aniva ni msichana 25-30's Age
Nimejiunga humu Jana. Naombeni Kiti Na miongozo ya humu ndani. Ntafurahi Kama nitapata marafiki Wa aina zote Asanteni.
Habari wana jf!
Siku izi zama zimebadilika sana, hadi kina bibi tunajua na bdo tunaendelea kujifunza ktumia mitandao..
Mim n bibi wa mwendokasi,
Naomba mnipokee kwa mikono mi2.
Povu...
Hello friends,
My name is Anna Maria Buberwa, aged 24 years old.
I am from Bukoba, though now am living in Dar es Salaam Oyster bay.
Thanks.
--------------
Karibu sana JF mkuu Anna Maria...
Wana jukwaa hamjambo ?
Jaman mimi mgen hum ndani natumaini mtanipa taratibu za hum jukwaani
nini napaswa kukisema na nini sipaswi kukisema
Asanteni wote natumai niko kwenye mikono salama
Habari members...
Mimi ni mgeni humu Jf na nineijua punde tu Jf kupitia Facebook. Naombeni mnielekeze ,mnipokee na kuwa namm humu jf. Nitafurahi mkinikaribisha vizur pia kama nitapata marafiki...
Waungwana wote hamjambo?
Nimekuwa nikisoma JF na nimevutiwa saaa na michango yenye kuelemisha.
Mimi ni mdada wa umri wa kati niliyeishia sekondari na kujiendeleza.
Naomba ukaribisho wenu...
Habari zenu wana JamiiForum,
Mimi ni mgeni katika hii media, ni matumaini yangu nitapata ushirikiano mzuri kwenye matumizi ya hii media kwa kunielekeza yote nisiyoyajua
Shukrani sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.