Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Jamani, kuna kitu kimejitokeza ambacho sie wanaume hatukijui? Usiku wa leo nimekuwapo The great park kuthibitisha ka utafiti kangu... Ni kweli kuwa asilimia kubwa ya wanawake waliokuwepo pale...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Za leo wanajamvi, Kwanini kwa 90% ya wanaofuga #RASTA na wanaofanya kazi za #Kuchora Huwa wachafu sana na wapo rafu kimavazi na kimwili? Huwa napata wakati mgumu kuwaelewa hawa watu, tatizo ni...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wanajamii naombeni mnifahamishe.Kunawanaume wanavaa pete Mkono wa kulia Utamwona amevaa Pete mbili Moja Ina dude jekundu kwa juu ha nyingine ina dude la Kijani.je ni ulembo au kunamaana nyingine...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Mastaa wakubwa kama wafilamu na muziki hasa nchi za nje unaweza kuona zamani walikua wakijiachia na magarden love lakini saivi vifua vyeupe. Wakuu tutaje hapa viondoa garden love kama ni lotion...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
  • Redirect
Sunday, 23 April 2017 Cut a medium-sized potato into thick slices. NAMNA YA KUONDOA MICHIRIZI (HOW TO GET RID OF STRETCH MARKS) 1. Mafuta ya costor oil Castor oil, which is used in the treatment...
0 Reactions
Replies
Views
Swala la kuchagua what type of outfit katika matukio flani, flani kwa vijana imekua shida sana kwa hasa ukizingatia tumetoka kwenye local family zisizojali sana haya mambo. Hapa nitalenga zaidi...
11 Reactions
32 Replies
6K Views
Wanabodi salaam, Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi kuna umuhimu wa kuvaa nguo za ndani, sawa iwe kwa mwanamke au mwanamme. Hivi hizi nguo za nje si zinatusitiri tayari? Wajuzi waniweke sawa.
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Wakuu, Naomba msaada wa kujua nguo/fashion nzuri ya nguo za kuvaa za Me na Ke kwa mtu anaetoa mahari na kuvalishana pete. Najua kuna wazoefu wa matukio kama haya. Asanteni.
5 Reactions
91 Replies
51K Views
Wakuu mambo vipi, Kwa mda sasa nimekuwa natumia mafuta ya Vaseline ila sasa nataka ku Upgrade. Je mafuta gani mazuri na classic ya kiume mna recommend? Bei I-range 20 to 30k Tsh. Karibuni
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Naombeni ushauri nifanyeje ili kuwa na brand ya nguo ikiwa mm sio maarufu..na kwa kuanzia inahitaji kama kiasi gan hv..mnaofahamu tafadhali
0 Reactions
4 Replies
965 Views
  • Redirect
Za Eid wana JF.. Hivi karibuni nywele zangu naona zinanipa shida kiasi, hazikui haraka,kuchana scalp inaumaa si kama zamani afu zimekuwa kavu, kwa urefu nywele si ndefu sana pia si fupi,naweza...
0 Reactions
Replies
Views
Habari wadau Naomba mnijuze ni dawa ipi ya nywele nzuri, inaweza nifaa kwa hizi nywele zangu fupi? Nikisema fupi sio fupi sna nasuka mpaka nywele sita, ila tatizo kipilipili kimezidi nataka...
1 Reactions
5 Replies
16K Views
Naombeni ushauri nifanyeje ili kuwa na brand ya nguo ikiwa mm sio maarufu..na kwa kuanzia inahitaji kama kiasi gan hv..mnaofahamu tafadhali
1 Reactions
0 Replies
737 Views
Napenda sana fashion..hususani upate wa modeling yani hasa kwenye matangazo ya television na kwenye bao za matangazo ila sijajua, vigezo gani hasa hutazamwa na wanatasnia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimekuja na uzi huu maalum kwetu vijana tuelezane njia nzuri ya kutengeneza six pack bila kunyanyua vyuma! Naamin hili ni shauku kwa vijana wengi mijini na vijijimi pia na ukizingatia wakati...
1 Reactions
32 Replies
18K Views
Ni fundi yupi huyu maridadi anayeshona zile "suits" za viongozi, mf Waziri Mkuu,wabunge,Ma-RC etc? Mwenye ufahamu please..
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mungu kawapa wanaume nywele za usoni: kwenye mashavu, kidevuni na mdomoni.Bila shaka alijua sababu za kufanya hivyo ila sasa baadhi ya wanaume (hasa vijana) huachia nywele hizo kujiotea hovyo na...
3 Reactions
58 Replies
15K Views
Habari. Naomba kujua dawa ya kufanya nywele fupi kuwa na mawimbi pamoja na mafuta yake baada ya dawa. Hapa namaanisha nywele kwa mfano za lulu zinavyovutia na nyingine kama hizo.
0 Reactions
22 Replies
36K Views
  • Redirect
Wakuu nahitaji namna ya kuondoa madoa madoa flani meusi hivi yanayotokea usoni hasa kwa akina dada/wamama, mwenye jufahamu naomba ujuzi wenu...!!!
2 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom