Jamani, kuna kitu kimejitokeza ambacho sie wanaume hatukijui?
Usiku wa leo nimekuwapo The great park kuthibitisha ka utafiti kangu... Ni kweli kuwa asilimia kubwa ya wanawake waliokuwepo pale...
Za leo wanajamvi,
Kwanini kwa 90% ya wanaofuga #RASTA na wanaofanya kazi za #Kuchora Huwa wachafu sana na wapo rafu kimavazi na kimwili? Huwa napata wakati mgumu kuwaelewa hawa watu, tatizo ni...
Wanajamii naombeni mnifahamishe.Kunawanaume wanavaa pete Mkono wa kulia Utamwona amevaa Pete mbili Moja Ina dude jekundu kwa juu ha nyingine ina dude la Kijani.je ni ulembo au kunamaana nyingine...
Mastaa wakubwa kama wafilamu na muziki hasa nchi za nje unaweza kuona zamani walikua wakijiachia na magarden love lakini saivi vifua vyeupe.
Wakuu tutaje hapa viondoa garden love kama ni lotion...
Sunday, 23 April 2017
Cut a medium-sized potato into thick slices.
NAMNA YA KUONDOA MICHIRIZI (HOW TO GET RID OF STRETCH MARKS)
1. Mafuta ya costor oil
Castor oil, which is used in the treatment...
Swala la kuchagua what type of outfit katika matukio flani, flani kwa vijana imekua shida sana kwa hasa ukizingatia tumetoka kwenye local family zisizojali sana haya mambo.
Hapa nitalenga zaidi...
Wanabodi salaam,
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi kuna umuhimu wa kuvaa nguo za ndani, sawa iwe kwa mwanamke au mwanamme. Hivi hizi nguo za nje si zinatusitiri tayari?
Wajuzi waniweke sawa.
Wakuu,
Naomba msaada wa kujua nguo/fashion nzuri ya nguo za kuvaa za Me na Ke kwa mtu anaetoa mahari na kuvalishana pete.
Najua kuna wazoefu wa matukio kama haya.
Asanteni.
Wakuu mambo vipi,
Kwa mda sasa nimekuwa natumia mafuta ya Vaseline ila sasa nataka ku Upgrade.
Je mafuta gani mazuri na classic ya kiume mna recommend?
Bei I-range 20 to 30k Tsh.
Karibuni
Za Eid wana JF..
Hivi karibuni nywele zangu naona zinanipa shida kiasi,
hazikui haraka,kuchana scalp inaumaa si kama zamani afu zimekuwa kavu, kwa urefu nywele si ndefu sana pia si fupi,naweza...
Habari wadau
Naomba mnijuze ni dawa ipi ya nywele nzuri, inaweza nifaa kwa hizi nywele zangu fupi?
Nikisema fupi sio fupi sna nasuka mpaka nywele sita, ila tatizo kipilipili kimezidi nataka...
Napenda sana fashion..hususani upate wa modeling yani hasa kwenye matangazo ya television na kwenye bao za matangazo ila sijajua, vigezo gani hasa hutazamwa na wanatasnia.
Wakuu nimekuja na uzi huu maalum kwetu vijana tuelezane njia nzuri ya kutengeneza six pack bila kunyanyua vyuma! Naamin hili ni shauku kwa vijana wengi mijini na vijijimi pia na ukizingatia wakati...
Mungu kawapa wanaume nywele za usoni: kwenye mashavu, kidevuni na mdomoni.Bila shaka alijua sababu za kufanya hivyo ila sasa baadhi ya wanaume (hasa vijana) huachia nywele hizo kujiotea hovyo na...
Habari.
Naomba kujua dawa ya kufanya nywele fupi kuwa na mawimbi pamoja na mafuta yake baada ya dawa.
Hapa namaanisha nywele kwa mfano za lulu zinavyovutia na nyingine kama hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.