Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Naomba msaada tafadhali Mwenye kujua mafuta mazuri kwa ajili ya kupaka hizi ngozi za mafuta hasa usoni anijulishe tafadhali
0 Reactions
49 Replies
26K Views
Lazima tuwajulishe watoto wetu wasichana kuwa, katika maisha yao kuna nguo kuu nne za kuvaa. Nazo ni: 1) Sare ya shule 2) Joho la Graduation 3) Gauni la Harusi 4) Maternity dress (Nguo ya...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Umofia kwenu! Kuna mavazi ambayo yamezoeleka kuvaliwa misibani au kwenye mikusanyiko yeyote ile iwe harusi au sherehe zingine! Binafsi nahitaji kuelezwa au kujuzwa kama huwa ni fashion au ni...
6 Reactions
66 Replies
10K Views
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake...
11 Reactions
176 Replies
21K Views
Wakuu hamjambo. Nimeona niweke wazi. Ladies wengi waliovaa majuba wananisisimua. Pia wanawake wanaonyoa huwa nawapenda mionekano yao.
7 Reactions
125 Replies
15K Views
Mko poa au VP? Napenda kuelimisha jamii yakitanzania kuhusu ili jambo vijana wengi wamepotea in the name of fashion without knowing it's origin. Nguo za kubana hasa kwa wanaume niutanblisho wa...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habarini wadau, Kama inavyojieleza hapo juu, natafuta hiyo kitu (virgin hair fertilizer) mwenye kujua zinapatikana wapi tafadhali anijuze. Natanguliza shukrani
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu Habari zenu... Niko zanzibar.. Naomba Kujuzwa wap Wanafanya Masaji.. Au mweny Namba ya mtu a naye Fanya private Masaji anitumie inbox... Na bei zao zikoje? Niko serious wakuu kazi nazofanya...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Naomba msaada, Mimi sio mtumiaji wa vipodozi vikali lakini yamenikuta haya baada ya kushare lotion ya ndugu yangu tukiwa safarini. Bahati mbaya nilisahau kupack mafuta wakati nasafiri sasa...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi. Nataka ni badilike kimuonekano wa kimavazi, niko Arusha ni wapi naweza kupata makoti mazuri ya Suti ya bei nzuri kuvalia na kofia aina ya Spire mara...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
hakika tatizo hili,limekuwa km ni kawaida kwa vijana wadogo,kutokwa na viparavmiaka ya karibu,tofauti na zamani ambapo MTU akiwa na kipara h uwa na umri Wa 50s,anayefahamu Dawa jamani,hebu njooni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
WW I ilipoanza mfalme Leopard alichukua vijana wa ki-Congo wenye nguvu na kuwapeleka Ubelgiji kuipigania nchi mama. Vita ilipokwisha walilipwa Franc 300 kila mmoja na kuambiwa wako huru kufanya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna uhuru wa kuvaa unachotaka lakini hiki la kuvaa sandals wakati muguu imepasuka tena mipasuko ya kuchana shuka nalo ni neno. Kupasuka kwa miguu si uginjwa bali ni kutokuijali ngozi ya miguu...
9 Reactions
16 Replies
2K Views
I hav my new fashion brand anda i need sponsor
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Habarini wana JF Naombeni mnijuze ni mafuta yapi mazuri kwa mwanaume mwenye nywele fupi tu za wastani. Yapi yanapendezesha nywele na kuzifanya ziwe nadhifu na za kuvutia?
0 Reactions
63 Replies
37K Views
Nawasalimu kwa mara nyingine tena wana JamiiForums, Mimi ni kijana wa miaka 20 lakini mpaka sasa nimepata ndevu za kawaida (kidevuni) lakini mimi napenda sana Mustachi (za mashavuni) maarufu kama...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wakuu kma title inavyosema je kuna yeyote kwenye jukwaa hili anafaham wapi naweza kupata hiyo sabuni ya sea of spa kwa hapa dar anisadie kunijuza maana ndio pekee ilinisaidia...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
  • Redirect
Habari wadau naomba nielekee moja kwa moja kwenye point, kumekuwa na tabia ya wadada wengi kupenda kuvaa cheni mguuni a.k.a kikuku bila kujua au kujua maana yake halisi MAANA YA KIKUKU Marekani...
1 Reactions
Replies
Views
Habari zenu wapendwa na ombeni kujuzwa hichi kitu lakini na tumaini majimbu mengi yata toka sana upande wa ke..naomben kujua kazi ya cream mbalimbali zinazo patikana maduka ya vipodozi..na kwann...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za leo Tuende moja kwa moja kwenye hii mada fupi Sipendi kuona wanawake wenzangu wakijichubua (japo na wanaume wengi nao wanashika kasi) Ila siwez kulaumu hata siku moja kwanini...
5 Reactions
26 Replies
13K Views
Back
Top Bottom