Lazima tuwajulishe watoto wetu wasichana kuwa, katika maisha yao kuna nguo kuu nne za kuvaa.
Nazo ni:
1) Sare ya shule
2) Joho la Graduation
3) Gauni la Harusi
4) Maternity dress (Nguo ya...
Umofia kwenu!
Kuna mavazi ambayo yamezoeleka kuvaliwa misibani au kwenye mikusanyiko yeyote ile iwe harusi au sherehe zingine!
Binafsi nahitaji kuelezwa au kujuzwa kama huwa ni fashion au ni...
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake...
Mko poa au VP? Napenda kuelimisha jamii yakitanzania kuhusu ili jambo vijana wengi wamepotea in the name of fashion without knowing it's origin. Nguo za kubana hasa kwa wanaume niutanblisho wa...
Habarini wadau,
Kama inavyojieleza hapo juu, natafuta hiyo kitu (virgin hair fertilizer) mwenye kujua zinapatikana wapi tafadhali anijuze.
Natanguliza shukrani
Wakuu Habari zenu... Niko zanzibar.. Naomba Kujuzwa wap Wanafanya Masaji.. Au mweny Namba ya mtu a naye Fanya private Masaji anitumie inbox... Na bei zao zikoje?
Niko serious wakuu kazi nazofanya...
Naomba msaada,
Mimi sio mtumiaji wa vipodozi vikali lakini yamenikuta haya baada ya kushare lotion ya ndugu yangu tukiwa safarini.
Bahati mbaya nilisahau kupack mafuta wakati nasafiri sasa...
Wana Bodi Amani ya Bwana iwe Nanyi.
Nataka ni badilike kimuonekano wa kimavazi, niko Arusha ni wapi naweza kupata makoti mazuri ya Suti ya bei nzuri
kuvalia na kofia aina ya Spire mara...
hakika tatizo hili,limekuwa km ni kawaida kwa vijana wadogo,kutokwa na viparavmiaka ya karibu,tofauti na zamani ambapo MTU akiwa na kipara h uwa na umri Wa 50s,anayefahamu Dawa jamani,hebu njooni...
WW I ilipoanza mfalme Leopard alichukua vijana wa ki-Congo wenye nguvu na kuwapeleka Ubelgiji kuipigania nchi mama.
Vita ilipokwisha walilipwa Franc 300 kila mmoja na kuambiwa wako huru kufanya...
Kuna uhuru wa kuvaa unachotaka lakini hiki la kuvaa sandals wakati muguu imepasuka tena mipasuko ya kuchana shuka nalo ni neno.
Kupasuka kwa miguu si uginjwa bali ni kutokuijali ngozi ya miguu...
Habarini wana JF
Naombeni mnijuze ni mafuta yapi mazuri kwa mwanaume mwenye nywele fupi tu za wastani. Yapi yanapendezesha nywele na kuzifanya ziwe nadhifu na za kuvutia?
Nawasalimu kwa mara nyingine tena wana JamiiForums,
Mimi ni kijana wa miaka 20 lakini mpaka sasa nimepata ndevu za kawaida (kidevuni) lakini mimi napenda sana Mustachi (za mashavuni) maarufu kama...
Habari za asubuhi wakuu kma title inavyosema je kuna yeyote kwenye jukwaa hili anafaham wapi naweza kupata hiyo sabuni ya sea of spa kwa hapa dar anisadie kunijuza maana ndio pekee ilinisaidia...
Habari wadau naomba nielekee moja kwa moja kwenye point, kumekuwa na tabia ya wadada wengi kupenda kuvaa cheni mguuni a.k.a kikuku bila kujua au kujua maana yake halisi
MAANA YA KIKUKU
Marekani...
Habari zenu wapendwa na ombeni kujuzwa hichi kitu lakini na tumaini majimbu mengi yata toka sana upande wa ke..naomben kujua kazi ya cream mbalimbali zinazo patikana maduka ya vipodozi..na kwann...
Habari za leo
Tuende moja kwa moja kwenye hii mada fupi
Sipendi kuona wanawake wenzangu wakijichubua (japo na wanaume wengi nao wanashika kasi)
Ila siwez kulaumu hata siku moja kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.