Kwa nini waafrika wanajibadilisha rangi?
Mitindo ingekuwa na maendeleo kiasi gani bila uwepo utumwa na ukoloni?
Katika mfululizo wa Barua kutoka kwa Waandishi wa habari wa Afrika, Mwandishi na...
BAADHI ya wanaume nchini wanatajwa kuwa kichocheo cha wanawake kutumia vipodozi vyenye viambata vya sumu ambavyo vimekuwa vikiwapa madhara ya ngozi.
Hayo yalielezwa Dodoma jana na Meneja wa...
Kiatu cha OXFORD (the oxford shoes) ni viatu ambavyo vimetokea kupendwa dunia nzima , vikitofautina kidogo na DERBY SHOES .
Sehemu ya kwanza kuonekana aina hii ya viatu ni Scotland na Ireland ...
Naomba msaada wa kuelimishwa juu ya namna ya kuondoa kovu kwenye paji la uso kwa mtu ambae aliwekewa akiwa mdogo, kovu linakua kama jinsi ilivyo ndonya (shilingi) au kama wanavyowekewa kabila la...
Uzi huu ni maalum kwa wale ote wenye nywele za singa,tumeane dondoo jinsi ya kuzitunza kama mafuta na mengine mengi ili ziwe za kuvutia zaidi.
Nawasilisha
Napenda kutumia nafasi hii kuwapa salam wote ninyi wahangaikaji ndani ya uzini huu special ,asallam,samahani naomba aliye na ujuz wa wakurefusha ndevu.ziwe ndefuu na Nene nyeusi tafadhil sana...
Wana Bodi ya Urembo na mitindo
nina nywele Kipilikipili nimetumia mafuta aina ya Oliver oil bila mafanikio.
yaan unachana baada ya masaa mawili zinarudi kuwa Kipilikipili na hazijajaa...
Hivi wale watu wanakuaga na viuno laini ni wanakua wamezaliwa hivo walaini au ni mazoezi ?Kama ni mazoezi ni yapi hayo waweza kufanya kiuno kiwe laini....
Napenda hiyo shughuli kucheza, kutwerk...
Wakuu nawasilimieni nyote,
Moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu,
Nimejaribu kabla ya ku-post uzi huu kuona kama kuna uzi ulishawisilishwa humu wa namna/njia/dawa/mafuta maalum yasiyo na...
Mtindo mpya wa kuacha ndevu zilizo na mvi 'ulioibuliwa' na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe umeonekana kupata wafuasi baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini kuonekana katika mtindo...
Kuna wadada mpaka leo wanaamini kua sisi wanawake tunaweza kufanya kila kitu wanaume wanafanya,
My dear wewe unaweza kuvaa nguo ya ndani moja kwa wiki nzima?
Tukubali tu vitu vingine ni wao tu...
Jamani hili suala najiulizaga kila siku
Sijawahi kumuona mwanamke mwemba amejifunga kanga ila leo nimemuuliza rafiki yangu hili swali amesema kuwa wanaogopa eti wataonekana kama wana mguu mmoja...
Wale wanaopiga mswaki nje ya nyumba hasa wanaume tena kandokando ya njia huku wamevaa vibukta vifupi vimeishia kwenye mapaja na tumbo wazi sio ustaarabu.
Jana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.