Habari wana JF,
Kuna kitu najiuliza mbona wamama wa zamani hawakua na michirizi kama ambavyo wa siku hizi wanayo? Nimekaa nimetafakari karibia wanawake wote watu wazima ninaowafahamu hawana hii...
Tanzania kuna wanawake warembo I see asikuambie mtu. Naamini ina warembo kuzidi nchi yoyote East Africa. Mtu atakuja,oooh...! Rwanda.
Hao wanaokuwa kama warwanda wamo humu Tz yaani mpaka unaweza...
Naomba wadada mje hapa; iteni wenzenu tuongelee suala la "vigodoro"
Kwanini tunanyanyapaana kuhusu shapewear jamani? Eti mtu anasema "ridhika na Mungu alichokupa". Kweli?
Nywele za bandia weka...
Kuna kitu cha kipekee sana juu ya wanawake ambao wako hivi, Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba. Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na...
Jamani nyie wanawake wa kidigitali mnatuharibia kizazi chetu cha baadaye. Huu uvaaji wenu mnawafundisha nini watoto wenu.
Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni...
Apo chacha!
Wanawake wanaotumia kope bandia wanahofiwa kuwa na hali ya hatari ya kupata upofu wa macho kutokana na gundi wanazotumiwa kutumia kope hizo kuripotiwa kuripotiwa kuwa na athari kwenye...
Mambozi dears, for the first time nataka nijaribu lace wig lakini naona mostly zimesukwa mbili kichwa au kubana kidoti, ina maana ukiliachia tu bila kubana au kusuka halipendezi?
Mwenye picha ya...
Naomba kujua mnapenda nini kutumika chupi ama taiti ok Na kama chupi ni zipi au kama taiti zipi ndefu ama fupi Na Kwa zooote mnapenda material yapi nafatilia koment zenu .
Wanaume tukae pembeni...
Habari wakuu hamjambo najua kwa wanaume yashawatokeeni saana unakuta mwanamke anabonge la mzigo akipia watu macho kodoo. Binafc kuna manzi nilimfukuzia kama mvua mbili ananizungusha tuu.
Siku...
Hivi wanawake mnajua kwamba mkijipaka hayo mnayojipaka kupitiliza mnapoteza kabisa maana.
Yani ni mayai sijui mnajimwagia..
Halafu unaposimama mbele ya watu kuhutubia. Mambo ya msingi kabisa...
Nawasalimu,
Husika na kichwa hapo juu.
Sasa utandawazi unazidi kufanya wadada wachanganyikiwe zaidi. Kama mjuavyo mitindo ya mavazi mengi yanazidi kupamba moto kulingana na mitandao ya kijamii...
Hii tabia yenu imenikera sana, nimeivumilia sasa nimeona bora niwaambie tu mkae mkijua kuwa hatuipendi.
Mlianza kuvaa suruali, tumekaa kimya, mmetaka usawa tumekaa kimya, mmekuja kwenye hili la...
Habari zenu,
Naomba niseme na mabinti wenzangu hata pia baadhi ya wamama wamejisahau. Hivi unawezaje kutoa mguu kwenu(kwako) ukiwa mikono mikaaaaavu?
Binti unatoka huna khanga/mtandio khaaaa...
Kuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana, mtu uko kwenye daladala afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la...
Natamani wanawake wangefahamu kuwa katika vitu ambavyo asilimia kubwa ya wanaume tunachukia kutoka kwao ni nywele bandia.
Asilimia kubwa ya wanaume huvutiwa na nywele asili. Ikiwa sisi hatuvutiwi...
Nilihudhuria msiba na hatimaye mazishi kwa kweli wanawake ktk msiba hiwa wanavaa kiheshimu mpaka inapendeza ila wakitoka hapo ni full majanga hivi kwann msivae ivo siku zote?
Wanaukumbi.
Ama kweli hujafa hujaumbika, mrembo Khadija Omar, mkazi wa Kigogo, Dar amepata pigo kufuatia kupofuka macho alipokuwa akiwekwa nyusi bandia katika saluni moja iliyopo maeneo hayo...
Habari!
Wanawake sasa naona mnajisahau sana kwenye swala zima la kutunza miili yenu.
Msishtuke nitaongelea kitu kidogo tu, wanawake upande wa kuwa na matumbo/Vitambi ambayo yanaleta shida moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.