Wasalam..!
Kama nilivyo wasalimia kijana ni mgen kwenye huu mtandao, nimiez michache nimejiunga humu.
Hapo mwanzo nilikiua nasikia jamii forum, lakin rafiki yangu juz, tukiwa tunapata mbili...
Wanabodi nawasalimu sana!
Mi nimeshazeeka.
Mitindo ya vijana inanipita kushoto. Nambieni hiyo Pascal Wawa hapo, wa pili Kutoka kushoto, huo mtindo wake wa nywele mnaitaje huko Mjini, huku...
Kinauzwa $17million.
Kimetengenezwa na gold, patent leather, silk, na kupambwa na 236 diamonds.
15 carat flawless D-diamond center piece at the tip of each shoe.
Viko Dubai, ukihitaji Info zaidi..
Kama kichwa cha mada kinavyo eleza hapo juu sijawahi hudhuria interview yoyote hata ya ulinzi shirikishi kifupi sina experience yeyote kuhusiana na interview.
Mimi ni muhitimu wa chuo fulani...
Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojiekeze mimi ni "ME", napenda sana kuzitunza na kufuga nywele zangu za kichwa..
So naomba kufahamishwa mafuta mazuri ambayo yatanisaidia kulainisha nywele...
Kama kuna kitu kimetushinda wababa wengi ni kujua mkeo anataka nini hasa kwenye ishu nzima ya mitindo ya nywele za kusuka, hebu pata darasa la bure hapa mitindo michache ili usibabaike shemeji...
Wakuu,
Kuna watu huwa wanatumia nguo za ndani kwa muda mrefu bila kununua mpya.
Kiafya, nguo ya ndani inabidi ivaliwe kwa miezi mitatu tu baada ya kuinunua, kisha itupwe au ichomwe moto...
Habari zenu jamani,mwenzenu chunusi zinaharibu kabisa urembo wangu nimekua na machunusi mpaka naona aibu kuonana na watu nisaidieni jamani nitumie nini mi ni mweusi sitaki kuwa mweupe kabisa...
Habari za asubuhi Wakuu. Bila ya kupoteza wakati nijikite kwenye mada tajwa hapo juu.
Ni asubuhi iliyonjema kabisa kila mmoja wetu akiwa na pirikapirika yake ya kujitafutia riziki ya kila siku...
Hivi baadhi ya wadada huwa wanafanya nini na hizi ball dresses baada ya shughuli maalum?!
Huwa wanauza ama?!, maana kuivaa nguo kama hii mara mbili wadada wa mujini huwa wanadai "it's cheap"
Habari wana jamvi.
Naomba kuelekezwa mafuta mazur ya nywele kwa wanawake, yenye kukuza, kujaza, kunenepesha, na kuifanya nywele iwe na rangi yake asili.
Niombe kutajiwa jina na bei yake...
Nauliza hivyo maana nilikuwa nimepanda hiace nimekaa na dada siti moja ameyashonea hayo madubwasha yanatoa harufu kali.
Halafu sijui nani aliwadanganya kuwa yanawapendeza maana wengine...
Habarini za weekend ndugu zangu na polen na maisha ya Tanzania.
Back to the topic, naomba kujuzwa hivi kwanini nguo aina za madera ambayo huvaliwa na wakina mama au wakina dada yamechukuliwa kama...
Habari wajuvi,
Nikichana nywele kichwani hua panatoa vumbi nilizani labda ni wingi Wa nywele kichwani hivyo basi nikamua kuachana na ufugaji Wa nywele nyingi na kuanza kutumia aina mabalimbali...
World
News
Queen Elizabeth Makune is Miss Tanzania 2018
By Missosology -
September 10, 2018
0
232
Queen Elizabeth Makune was crowned Miss Tanzania 2018 during the finals held September 8 at the...
Lemutuz Aikosoa Vibaya Miss Tanzania "Aibu ya Gari Mmejiletea Wenyewe Mlipoamua Kuwashambulia Miss Lake Zone"
William Malecela aka Lemutuz ameonekana kutofurahishwa na zawadi ya gari aliyopewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.