Vazi hili naona limeanza kuwa maarufu hapa Tanzania kwa wanawake wa rika zote naliona katika misiba mbalimbali, katika sherehe mbalimbali, n.k na wengine wanalipa heshima na wengine wanalivunjia...
Wana jf salaam,
Miaka kadhaa iliyopita wavaaji wa jeans walionekana ni vijana wa kihuni ,lakini miaka ya karibuni vali hili limezijolea wavaaji wapya wenye heshima zao, licha ya kuwa kwa Tanzania...
Salaam wakuu na hongereni kwa kushiriki vita ya kuitokomeza corona
Katika kuweka mwili fiti nimeona Kuna mazoezi mawili yasiyohitaji eneo kubwa, na hata chumbani unaweza kuyafanya, nayo Ni...
Michael Kors ni Mmarekani, baba yake ana asili ya Sweden na mama yake ana asili ya Uyahudi, alizaliwa Karl Anderson Jr 1959 baba yake akiwa Karl Anderson Sr. Baada ya mama yake na baba yake...
Hawa jamaa ukiwakuta Mwenge wanavofanya masaji miguu ya wadada, dah moyo unadunda the fastest, maana wanafunua hadi mapajani karibu na 18 yaani dah, sina jinsi ningeweza ningemkataza wife but ndio...
KABLA NA BAADA YA MAKEUP [emoji168] Kila sekunde ya maisha yako ogopa wanawake baada ya kuwaogopa wasanii wa Makeup. Itakushtua wakati vipodozi vitakapokwisha.
If you struggle with skin discolorations, blemishes, they can be evened out, here's how to do it naturally.
A lot of ladies feel the need to
For some, the desire to have even skin tone is a...
Siku moja nilikuwa nimeuzuri kikao cha kiutendaji na wanachama wa taasisi A.
Karibu yangu nilikuwa nimekaa na mbaba mmoja, ana kama miaka 45 hivi. Ni mtu mwenye nafasi nzuri tu, na kipato si...
Mshukuru muumba kwa vile jinsi alivyokuleta duniani.
Usilazimishe lami ifanane na ugali.
Hiki ndiyo kitachachokutokea kama ukilazimisha lami ifanane na ugali
Just stay natural.
WANAWAKE wengi watakiri kuwa nywele za sehemu za siri ni kero hasa katika kudumisha usafi au kuonekana nadhifu wakati wa mahaba.
Sababu hii imewapelekea wengi kutafuta mbinu na bidhaa mbalimbali...
Habarini za weekend ndugu zangu na polen na maisha ya Tanzania.
Back to the topic, naomba kujuzwa hivi kwanini nguo aina za madera ambayo huvaliwa na wakina mama au wakina dada yamechukuliwa kama...
Kwanini mmeamua kuvaa nguo za kubana tu?!
Ndilo dukuduku langu. Si wake za watu, si mabinti, si wasichana wadogo si watoto wadogo wakike! si gauni, si blauz, si sketi, si suruali!
Si kanisani...
Huwa najiuliza wanawezaje? Wakati wa ujauzito mwili upo vile vile, akijifungua mwili upo vile vile, je hawali sana? Kama hawali mtoto anapaje maziwa?
Mfano Hamisa mobeto, napenda jinsi...
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio...
Samahani kwa kutumia lugha kali kidogo.
Nimetembea Mikoa mingi hapa nchini, na kila nikienda benki yoyote utakutana na wahudumu wanawake waliovalia nguo fupi zilizowabana maeneo muhimu.
Unakuta...
Wimbi kubwa la wanawake wanaopenda kunyoa nywele zao kwa mitindo kama ya wanaume limezidi kuongezeka na pia Saluni nyingi za kiume zimedaiwa kushindwa kuwanyoa vizuri wanawake na kuhakikisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.