Haya wadau.
Katika pita pita yangu mwisho wa mwaka, nikampata shemeji yenu (mchepuko) ni mzuri balaa, mtoto wa tajiri, elimu masters level.. Makazi ni kwa matajiri Capripoint Mwanza, baba...
Kama unamiliki suruali zaidi ya kumi na tano na una boksa mbili tu wewe ni mchafu!
Kama una pea moja tu ya viatu wewe ni mchafu,mwanaume viatu
Kama unapiga mswaki Mara moja tu kwa siku wewe ni...
Jamani najua mko poa!
Hivi siku hizi kila kaka huku mjini naona kabeba begi mgongoni, hayo mabebi ni makubwaa sana, na yamekaa kishamba shamba hivi. Mengi Yao yameandikwa Biowang mengine...
Najua wengine watasema naishi enzi za ujima lakini kiukweli nikimwona binti kajisitiri nguo iliyofunika mwili vizuri, kichwani ana mtandio au kilemba huwa najihisi faraja kubwa sana moyoni.
Shida...
Habari wadau..
Kiukweli mimi ni mkristo..
Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii
Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana..
Unamkuta mdada...
Shkamooni wakuu over 24+ Inakuwaje wakuu under <23.
Nauliza ni mafuta gani mazuri (skin care routine) ambayo nikitumia sitowahi kubadili?
Name & Price (bei za kawaida) na ni wapi naweza...
Kuna kitu cha kipekee sana juu ya wanawake ambao wako hivi, Sijui ni mimi tu na macho yangu, lakini mwanamke wa hivi naweza honga hata nyumba. Huwa najikuta nawapenda bure tu...Rangi ya ngozi na...
Kina dada naombeni msaada wenu, chupi nzuri za kike za pamba nazipata wapi hapa mjini Daslam.
Nataka kumnunulia mpenzi wangu chupi nzuri na bora kabisa ziwe zinanitunzia asali yangu...
Swali kwa wadau wote wa boxer.
Swali jepesi sana.
Mimi kawaida huwa na vaa boxer miezi 6 hadi 8 kisha ndo nafua huyo ni mimi.
Siijajua kwa ninyi wadauu
Kuwa mkwelii tu
Aina hii ya mavazi huvaliwa Ulaya na Amerika ya kaskazini kipindi hichi cha mwaka kwa sababu ya baridi kali na barafu inayodondoka huko. Kichekesho ni pale unapomwona mtu mzima na akili zake...
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani.
Nawaza kutumia...
Habari wandugu'
Jamani mpaka nimefikia kuandika hapa ni ile tabia ya kina dada kuacha nywele nyiingi sehemu za siri
Nilikutana na mwanamke duu! kiukweli badala ya kufurahia mapenzi alinitia...
Napenda sana meno meupe na yaliyopangika vizuri. Na kwa bahati nzuri nimejaaliwa kuwa na vyote viwili pasipo na msaada wa dental braces wala retainers. Na meno ya njano njano huwa yananichefua...
Habari zetu warembo na watanashati.
Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi? tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku...
Nimekua nikipata shida sana kupata nguo nzuri za kiume madukani, kwani miaka ya hivi karibuni nguo nyingi zilizopo madukani zinazosemekanana ni za kiume zina muonekano wa nguo za kike.
Kwa mfano...
Kumekua na tabia ya wamama wengi wanaokaribia kujifungua kupiga picha za nusu utupu zikionyesha ukubwa wa tumbo /mimba.
Hii trend ya picha hizi niwahi kuziona mara ya kwanza kwa mastaa wa nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.