Nilitaka kufaham wanawakee nyie mnajiita waremboo mnakwamaa wapi mwanamkee unakuwa na mikuchaa kama shetani unafugaa kuchaa mpaka kula inakuw taabu kwenu urembo gani wa hivyo
Kumekuwa na tabia ambayo inakuja kwa kasi sana zama hzi inawahusu nyie wanawake wajawazito. Sijui kama nitakuwa nakosea ila kwa utamaduni wetu wa kiafrica haipendezi kwakweli. Wanawake sikuhz...
Habari zenu nivae vazi gani kutokana na nilivyo? iisaidieni nivae nguo gani nipendeze nimrefu sio mnene wala mwembamba sana nina maziwa makubwa kiasi sina chura miguu miembamba nishaurini mavazi...
Hii ni njia ya rahisi sana ya asili ya kuweka mng'ao kwenye nywele zako na kuzifanya zishine pia inachochea ukuaji wa nywele
Unachotakiwa kufanya ni kuchemsha majani ya rosemary kwenye maji kiasi...
Habari zenu ndugu zangu! mimi ni mwanamke wa miaka 30 sasa! Ndugu zangu jana usiku nimegundua kuwa kucha zangu zipo hivi! Kamstari kama rangi ya kahawia uliokaa kama duara hivi!
Hiki kidole...
Wakuu leo nataka nikanunue unyunyu wa bei chee elfu5 tu inatosha naomba msaada wenu unyunyu gani wa bei hiyo mkali.. afu kunawatu humu ukiomba msaada wao wanatoka nje ya mada inatakiwa kabla...
Kwa siku za karibuni kumekuwa na mjadala wa vijana wa kiume kuendana na wakati. Ambapo kwenye suala la mavazi haswa suruali kumekuwa na mitizamo tofauti.
Kuna wanaobana sana suruali bila kujali...
Mwenye kujua paphumu ça kiarabu zinazo Nukia vizuri. Za bei rahisi kuanza 10,000 kushuka Chine. Naomba anisaidie n'a akiweka n'a picha itanisaidia .asanteni
Habari ndugu watanashati
Leo ninaomba mnisaidie kubaini rangi ya kiatu hiki pichani(Tazama kiambatisho). Mafundi(baadhi) wapaka rangi wetu wababaishaji,wanaweza kukupakia zinazofanana na kuharibu...
Huu ni mtindo uliojizolea umaarufu nchini Rwanda kwa miaka mingi iliyopita. Muonekano wake ni kama ilivyo katika picha
Mtindo huu ulianzishwa na Wanaume lakini baadaye Wanawake waliupenda na...
Wakuu Leo naomba tujuane wale wote ambao hawajawahi kunyoa staili Mbalimbali
mfano;kiduku,panki,n.k
Nikianza mm sijawahi mpaka sasa na umri wangu huu nilio nao
Vipi kwako wewe ulishawahi?
je...
Watu wanasema kizuri kula na mwenzio. Nimeona kuna nyuzi nyingi umu za pafyumu watu wakiangaika kusaka pafyumu zinazonukia vizuri.
Niwaambie tu siku hizi habari ya mjini ni pafyumu za kiarabu...
Waziri wa Afya na Ajira wa Japan, Takumi Nemoto amesema ni muhimu kwa makampuni kulazimisha wafanyakazi wake wa kike kuvaa viatu virefu “high heels” wawapo kazini.
Amesema kama kuna ulazima wa...
Hii ni tofauti na watu kama waChina, waJapan, wahindi, Waarabu nk., hata wale wa Brazil, ulaya na marekani ni mbegu ya Afrika iliyopelekwa utumwani. Nini siri ya neema hii?
Video inafafanua zaidi.
Nina kama masaa mawili ya kufanya maamuzi
Naongelea haswa hako kauwazi hapo kati,
Mwanaume ukiona mwanamke ameachia kitumbo wazi kidogo unaonaje kama ni mkeo au mpenzi wako?
Ni kiparty with...
Habarini wakuu.......
Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?.......
Yani nimepita hapa makoroboi kuna mmama mtu mzima tu yani anasafishwa kucha kavaa...
Nina mpenz wangu anapenda sana lotion, cream za kujichubua mfano calorite, carrotone nk ....mm hii tabia inanikera sana, nahitaji kufahamu ni zipi nzuri ambazo anaweza kupaka na isimchubue ngozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.