Mimi ni mwanaume rangi yangu ni black by nature kuna baadhi ya lotion hua nikipaka huanza kuharibu asili yangu. Wakuu naomba kujuzwa ni aina gani ya ingredients ambayo ikiwa katika mafuta huathiri...
JINSI YA KUONDOA CHUNUSI USONI KWA KWA HARAKA ZAIDI.
Na:Mr tibalishe
Chunusi ni vipele vinavyojitokeza katika ngozi hususan sehemu za usoni, kifuani na mgongoni kutokana na mafuta kushindwa...
Tuacheni masiala wana jf katika awamu zote zilizo pita hakuna awamu ngumu kama hiii ambayo vijana wengi wamejikuta either wamesingiziwa mimba au wametegeshewa mimba ni awamu hiii.
Sasa hivi bana...
Kabla ya kuamua kupunguza uzito,
Wengi huchukizwa na muonekano wa sehemu za tumbo, mapaja na mikono. Hivyo ni rahisi zaidi kupunguza uzito kama utaondoa nyama zembe katika sehemu hizo.
Ili...
Jamani wenye maduka ya fashoon plus size women tunahitaji boyfriend jeans!
Boyfriend jeans hazitakiwi kubana mapaja (plus size) mwenye nazo awasiliane nami!*ziwe kama hivi
Zisibane😋size 34-36
Jinsi ya kuondoa chunusi usoni kwa njia ya asili fuata hatua hizi.
1. Mdalasi na asali ndio mahitaji yetu
Tumia mchanganyiko wa asali na mdalasini wa unga kwa kupaka angalau mara moja kwa siku...
Kabla ya kuamua kupunguza uzito,
Wengi huchukizwa na muonekano wa sehemu za tumbo, mapaja na mikono. Hivyo ni rahisi zaidi kupunguza uzito kama utaondoa nyama zembe katika sehemu hizo.
Ili...
Hivi kwanini wanaume walio wengi sio wote wako na lips nzuri kulinganisha na wanawake. Lips za wanawake ni za kawaida sana ila wanaume wanakuwaga na lips nzuri zinavutia sana mpaka mtu...
Wakuu habarini za usiku huu,
Nimeandika andiko hili kutokana na kumuona Mh. Rais tangu ameanza kufanya ziara Mikoa ya Kusini hajabadili koti na kila tukio ninalomuona kwa siku za hivi karibuni...
Hii ishu inatokea sana, unakuta una nguo yako pendwa sana ukiifulia sabuni ya unga tu rangi yake halisi inapotea na inakuwa na weusi uliofifia, mfano jeans nyeusi, au T-shirt nyeusi nk. Hivyo basi...
Kumbe nywele zetu zikitunzwa vizuri zinaweza kuwa ndefu kabisa. Huwa ninamfuatilia huyu dada Youtube, ni Mkenya anaishi Australia. Angalia nywele zake zilivyo ndefu na hapo ni bila dawa ya aina...
habari
kama kichwa kinavojieleza hapo kuna sehem nilisikia ukichanganya baadhi ya pyafum au body spray zaidi ya moja znatoa harufu nzur halafu unique ningependa kujua mnapendekeza zipi
asanteni
Mavazi ni mahitaji ya msingi lakini kipato cha mtanzania kikidumaa kila siku.Jana kwenye shopping zangu nikasema 100,000 ngoja niitumie kwa mavazi leo.Nikapita mitaa ya sinza na mabibo.Yaani...
Habari
Jamani nataka kuanza kufanya scrub, nina uso wa mafuta hivyo basi ningependa kujua vitu gani vya kuzingatia ili niwe na matokeo mazuri.
Na je, ni salama kufanya katika saluni zetu hizi za...
Habari wazee,
Nipo kwenye foleni za hapa town muda huu, kama unavojua Dar es salaam barabara nyingi za hapa ni ile two ways in two ways out. Upande wangu wa kushoto kuna dada anaendesha IST...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.