Jana kwenye msiba wa Masogange (R.I.P) nilipata kuwaona wasanii wengi wakiwa nje ya studio za kufanyia shooting.
Wengi walikuwa na muonekano wao wa asili usioboostiwa na make ups.
Wengi kwa kweli...
Habari zenu wapendwa, poleni na kazi na mihangaiko.
Niko Dar, naomba mnisaide kuniambia sehemu nzuri ambako wanatengeneza rough dreads vizuri sana.
Natanguliza shukrani.
Nimejaribu kuulizia sana kama hawa jamaa wana agent wao hapa nchini kwetu au Africa mashariki kwa ujumla sijapata, zaidi ninapata bidhaa zao lakini kiukweli sio original kwa zile ambazo...
Habari zenu wazee baba
Holaaa holaaa mambo ni moto. Hatimaye harusi ya dada imekaribia na kama kaka wa makamo nimeambiwa lazima nivae suti.
Sasa basi ni lazima nitinge suti kali kimodo fulani...
Naomba kuuliza, hivi ni wapi nitapata pete halisi (original) ya dhahabu kwa gharama isiyozidi milioni moja?
Napenda sana kuvaa pete nzuri, ndiyo urembo wangu.
Hapa sinzungumzii bidhaa za yule msanii mwana FA la hasha bali ni za ile chapa ya FA, wanakuwa na deodorant nzuri sana. Mimi huwa napenda hasa ile imetengenezwa kwa watermelon.
Sasa nmejaribu...
Ndugu, kama unafahamu mahali wanauza suaruali aina ya chino/cadets za ukweli hapa Dar nitajie hapa tafadhali. Yaweza kuwa mtumba ama dukani. Mradi tu ziwe za ukweli, siyo midosho.
Jana nimepita...
Wadau,
Natafuta darasa la mitindo (fashion design) na hair styles and design la muda mfupi kama mwezi au miezi mitatu.
Mwenye kujua naomba anipe direction na contact zao kama pia anazo darasa...
Mimi ni mpenzi wa vikoti fulani hivi vya kubana kwa mbali, hasa kutokana na umbo langu la mwili mwembamba kiasi.
Naomba kujuzwa chimbo kali la suti za Kikorea kwa Dar, ahsanteni na karibuni.
Kama kinavyo jioneshe kichwa cha habari waungwana mimi ni mkaazi wa Dar lakini ni mtu wa kutoka sana bara hili la Africa kumenifanya nisizijue sehemu nyingi za jiji hili naomba kwa anaejua sehemu...
Wapendwa,
heri ya mwaka mpya!
naomba nisaidieni mwenzenu, nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa...
Wapendwa,
Heri ya mwaka mpya!
Naomba nisaidieni mwenzenu,
Nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.