Km headline inavyojieleza. Tukianzia zile za kibongo bongo,za kina chibu hd ma-hismiyake. Upi ni uturi the best for you mdau?
Sent using Jamii Forums mobile app
hello warembo na watanashati,
Ni lotions gani za wadada ambazo ni maarufu ila hajizapigwa marufuku, sio fake na ni nzuri kwa viwango vyake, zenye bei ya kati 5,000-20,000.
Sio vibaya ukinitajia...
kama Unapokaa Au kwa rafiki zako Au jilani kuna ma sinki ya choo yaliyoshindikana kwa uchafu.. Kiboko yao ipo.
Tafuta dawa inaitwa NEW HARPIC nais haizid elfu 13. Kutokana na location uliyopo...
Dressing codes have a story to tell about you even before you speak. It creates an attraction wave to the people around you each second. Why dont you try this combination and walk out one day in...
Wakuu anae jua dawa ya meno ya ALOE VERA AirSun inapatikana wapi anijuze.
DONDOO:
Toka mfungo wa Ramadhani ulipoingia, nielienda kujumuhika na familia yangu kijijini japo sikuwa nimefunga...
Mm kiukwel sina style maalum
Yan najikuta nishakaa kwenye kiti kinyoz akiniuliza sina chakumjib
Ebu weken style zenu zakunyoa na majina yake aseeh ili na sisi tupendeze.
Sent using Jamii...
Kumekuwa na tatizo kubwa la nguo feki kuingia katika soko letu la nguo nchini na tujuzane njia mbalimbali za kugundua nguo hizo kwa u
rahisi iwe jeans,suruali za vitambaa n.k
Habarini nyote nawaletea salamu changamfu kabisa kutoka West Monroe, USA.
Wanaume wengi tunakumbana na changamoto ya kutokewa vipele tunaponyoa ndevu na viarufu flani hivi.
Kuna hizi bidhaa za...
Mimi ni mzuri wa sura tu jamani japo sio sana nataka niiweke sawa zaidi means ing ae mimi ni maji ya kunde sio mweupe sio mweusi lotion gani nitumie nipendeze zaidi.
Sent using Jamii Forums...
Habari zen wakuu...jamani eeh nipo kwenye baridi yaani hata upake mafuta ngoma inadunda..yaani napauka mpaka nahic ngozi inachanika...nimeambiwa nipake glycerine je hiyo kitu haina madhara...
Kwa wale Wajuzi wa mambo ya urembo naomba kujua kama hilo linawezekana kwani nina rafiki yangu Mdada, ni mrembo na ana chale mbili ndogo kwenye mashavu yake.
Bado sijamuuliza kama zinamkera ila...
Kaa ukijua kuongeza kg ni rahisi sana kuliko kupunguza hahaha yaani kupunguza sio poa. Kupunguza kg 2 tu mziki wake sio wa kitoto...
Jiwekee tabia ya kufanya mazoezi japo dk 30 kwa siku. Magonjwa...
Watu hawaendi kutembea kwa sababu ya Corona , ni kula tu kisha kutulia ndani, sasa unapodai nguo za Sikukuu ili iweje ? unataka uwende ukatemee wapi ? Wake zetu muda mwingine wanawaza wnayojua wao.
Hii nguo inafaida gani kwa wanawake skin Tait kwanini hasa ivaliwe mbona zamani walivaa underskirt kwanini wameacha underskirt wamerukia skin Tait hili swali linaniumiza sana.
Naomba kuuliza wadau, hivi Kuna uhusiano gani Kati ya rangi ya Ngozi ya binadam na rangi ya nywele zake,? Je kuna uhusiano wowote ule?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.