Viatu tuu alivyovaa vinatia huruma, ina maana hata neutral ya 2k walishindwa kumnunulia angalau kiatu king'ae?
Nguo ndiyo usiseme, kapiga tshirt na suruali ya kitambaa. Buti ndiyo likaharibu...
Jamani nakerwa na harufu ya madawa/mafuta anayotumia mpenzi wangu kwenye nywele zake ila ndo sina jinsi sasa maana nikimwambia anyoe nywele kichwa ndo tatizo tena.
Sasa wanaume wenzangu hili...
Habari zenu wana JF
Naomba mnisaidie ni powder gani inafaa kwa Uso wenye ngozi ya kawaida kwani nilikuwa napaka nikipaka powder napata rashes .
Powder nilizopaka ni:
=Ponds
=Royal
=Mac
=Family...
Kwa wale wataalam wa kuchanganya hayo manukato na kupata harufu ambayo ni nzuri haikeri na inakaa muda mrefu, embu tupeni formula mchanganyiko upi ni best kwa maoni yako?
Wadau,
Bila shaka mmeshatazama porn video za black. Sasa kuna yale mafuta wanapakwa wadada kwenye makalio then makalio yanang'aa na kunona zaidi.
Anaejua jina la yale mafuta na yanakopatikana...
Nianze kwa kuwatia moyo wapendwa!
"Kuisha kwa koleo siyo mwisho wa Uhunzi"
Karibuni kwenye mada hii ya Chupi mujaarabu!
Chupi kama neno asili, ni ile nguo ndogo ya kwanza ya ndani kabisa...
Jamani leo nimeona leo niliongelee hili kuna baadhi ya wadada tunatiana aibu unakutana na mdada shughurini /njiani tena mchana amejipodoa kama kinyago amepaka poda sio ya rangi yake mwenyewe...
Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa.
Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema...
Habari zenu.
Kwa kweli mimi ambaye natumia muda mwingi mkoani, nikija Dar na kwenda mjini yaani maeneo ya Posta, ambako inasemekana ndio shughuli za kitaifa hufanyika, wanaume wengi sana huku...
Benefits of Apple CiderVinegar
1.Stimulates scalp to promote hair growth
2.Cleanses hair without stripping natural oils
3.Removes build-up from chemical products
4. Helps hair retain moisture for...
Kila siku mamilioni ya wanawake hujipaka lipstick bila kufikiria hata kidogo – wanachojali wao ni muonekano na urembo wao.
Kikubwa wasichofahamu ni kwamba baadhi ya lipsticks zimegunduliwa kuwa...
Natafuta Mtaalam au taasisi inayoweza kumuondolea mdogo wangu tatooo ya kudumu aliyojichora miaka 15 ilopita Plz tuwasiliane PM au kwa 0712 667 669 kwa anayejua taasisi au mtaalam
Habarini wana Jamvi ...!
Binafsi kwa sasa naishi mkoa wa Morogoro baada ya kuhamishiwa kikazi mkoa huu, nikitokea DSM..
Nimekuwa napata shida na maji ya chunvi ya mkoa huu, kiasi cha kuniondolea...
Wakuu,
Nadhani mnajua kina Lil Wayne na watoto wengi wa kishua utakuta ana kichuma flani hivi either juu ya jicho pembeni ya nyusi au kidevuni. Ni wapi wanafanyaga hizo shughuli kwa hapo Arusha...
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu.
Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.