Wakuu salamu, nimendika sentensi hiyo hapo juu ambayo ni ushauri ulitolewa kwa mtu anayetaka kupunguza uzito, nimepitia thread moja humu mdau akieleza jinsi vyakula vya wali na ugali...
(KAMA UMEOLEWA/UMEOA TAFADHALI USISOME)
Kuna story za kutisha nyingi sana kutoka kwa wanaume, kuhusu kuamka asubuhi na kujikuta wakiwa wamelala kitandani pembeni ya viumbe wasio watambua baada ya...
Wakuu hata kama ndio fashuuun au sijui kwenda na wakati hii imepitiliza, unasuka MAPEMBE kweli bro! Au ndio externalization ya yale mambo yenu ya freemasonry? Anyways kila mtu na maisha yake...
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, Mabinti ninaowazunhumzia hapa sio wale wacheza vigodoro na wavaa madera wasiojielewa, ni mabinti wale wanaojistiri swala tano.
Hawa mabinti moja ya...
Kichwa cha habari hapo juu chahusika
Baada ya kupata kazi na kuwa na uhakika wa kipato sasa nataka nishughulike na kutafuta mwili maana sifurahii huu wembamba japo sina maradhi yoyote yanayoweza...
Huu ni uzi maalum wa kupeana ideas, uzoefu na elimu ya kupamba nyumba, namna ya kusafisha ndani na nje ya nyumba, pamoja na mpangilio wa vitu katika nyumba zetu.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza, napata tabu ya kun’garisha boot lang maana mwanzoni nilikua nafosi natumia kiwi ila sasa nikawa naona kama rangi yake inafifia.
Then nikaona niwe navifuta tu...
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri wakuu,
Nisipoteze muda kuna hili swala limetokea pahali kidogo limenishangaza bada ya mzee mmoja kuchachama kwa ukali juu ya tabia ambayo binafsi sijaona kama ni...
Kuna vitu vidogo vidogo ambavyo wanaume tunakosea katika uvaaji wa nguo.
Kama unavaa mashati na unachomekea kwenye suruali basi hakikisha rangi ya mkanda wako inaendana na viatu unavyovaa.
Vitu...
Natamani mama angeanza kutupia mavazi yanayoenda na fasheni ya marais. Yaani vazi flani hivi traaamu sana kiasi kwamba mtu akimuona tu anajua kweli huyu MAMA WA TAIFA.
Kama leo yupo UGANDA na...
Kwa wale wataalam wa kuchanganya hayo manukato na kupata harufu ambayo ni nzuri haikeri na inakaa muda mrefu, embu tupeni formula mchanganyiko upi ni best kwa maoni yako?
Wakuu
Inasemekana kupiga push up 200 kwa Siku ni hatari kwa afya kwani husababisha uti wa mgongo kupinda na kusababisha tatizo linaliotwa kitaalamu 'Kyphosis' na husababisha maumivu ya mgongo na...
Image credit: Walter photography
Did you know, Jessica Nabongo is the first Ugandan woman to travel all the countries in the world? Which brings us to the article influenced by the blogger and...
Jamani mimi nahitaji kujua ipi brand nzuri ambayo inajitahidi kwa kuwa na fulana quality kati ya hizi MANGA na HOTBASE.
Mwenye uzoefu nazo anifahamishe zipi zina nafuu au zenye quality nzuri au...
Kwa wale wapenda perfume wenzangu naomba mnisaide kati ya hizi perfume ipi ina halufu nzuri zaidi.
Blue de Chanel vs Yves Saint Laurent Y
Nina mpango wa kununua perfume na nimeona wengi...
Many plus-sized ladies choose to stay away from skinny jeans because they fear that they will not look good in them. But the stunning looks that we've put together for you today will give you an...
Wakuu,
Nimekuwa nikikutana na hiki kitu kinaitwa Shower gel/body wash kwenye maduka ya vipodozi,nini kazi yake na ina tofauti gani na sabuni ya kawaida ya kuogea?
Na Je jinsia yoyote wanaweza...
Aisee leo nimeingia ofisini na kushangazwa na wadada ofisini kwetu. Wengi wao wamevalia hijab, vikoti na sketi ndefu.
Wao wanadai wamevaa hivyo kumuunga mkono Mama Samia. Yaani kuanzia Branch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.