Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Madaktari waeleza umuhimu wa nywele sehemu za siri Dar es Salaam. Wataalamu wa afya nchini Tanzania wamesema nywele sehemu za siri hazitakiwi kuondolewa kutokana na umuhimu wake hasa kuzuia...
11 Reactions
128 Replies
12K Views
Alipojifungua alijitahidi kufunga mkanda wa kubana tumbo mpaka tumbo limekaa sawa. Sasa tatizo yale mamikunjo kunjo hivi wa dada aka wamama mnaitoaje ile? Kuna kipindi alijaribu kupaka mafuta...
4 Reactions
36 Replies
6K Views
Hivi kwa nini korodani zinawasha na kunuka? We zioshe utakavyoziosha, zipigie perfume uwezavyo but still lazima kaharufu katoke. #Wataalamu njooni mnipe Darasa.
2 Reactions
65 Replies
32K Views
Urembo huu ni moja kati ya mitindo yenye kupendeza na kuvutia. Ni mtindo maarufu sana kwenye maeneo ya pwani hususani ni Tanga, Unguja, Pemba Dar es salaam na Mombasa, na hata kwenye maeneo...
8 Reactions
102 Replies
74K Views
Zanzibar Tangaaaaaa Mombasa Aminiaaa.. Sio mchezo mademu wa kanda ya pwani
6 Reactions
43 Replies
20K Views
  • Redirect
Huwa naowa wanawake wanaovaa vikuku kama wanakuwa na sifa flan mbaya. First impression huwa ni muhuni malaya. Hata mke wangu hadhubutu kuvaa vikuku Leo nimeenda home kwa wazee nimekuta mdogo...
0 Reactions
Replies
Views
Habari za mchana kwenu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji dye kwa ajili ya kuweka kwenye nguo nyeusi zilizopoteza rangi ili zirejee katika rangi yake ya mwanzo. Sifahamu kwa hapa...
2 Reactions
53 Replies
19K Views
Habari wanaJF naomba kwa anaeijua dawa ya kuondoa madoa kwenye nguo kama hili hapa chini. Dawa isiyo na athari kwenye nguo,pia isiyo ya bei kubwa.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hereni ni pambo linalotumiwa na wanawake tangu enzi na enzi za mababu zetu lakini kwa sasa hii imekuwa tufauti sana kwani hata wanaume siku hizi wanavaa. Je, ni sahihi kwa mwanaume kuvaa hereni...
3 Reactions
70 Replies
7K Views
Sare ni vazi au muonekano maalum katika kundi au taasisi maalum yenye mlengo mmoja! Miongoni mwa masharti ya kuvaa sare ni: Unatakiwa kuvaa sare wakati tu unatekeleza majukumu husika na si...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu... Katika kipindi cha makuzi yangu kuanzia naanza kujitambua mpaka kipindi cha miaka ya kuanza kubalehe hivi nilikuwa na midomo (lips) ambazo hazikua na weusi hata kidogo. Hazikua zimeokoza...
1 Reactions
66 Replies
14K Views
Nmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa. Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota...
4 Reactions
65 Replies
19K Views
Habari wana JF kuna lotion zisizo na kemikali/ harufu? Msaada
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu? Nina changamoto ya nywele zangu kila zinapokuwa na kufikisha urefu wa karibia sentimita 2 hivi huwa zinabadilika rangi na kuanza kuwa nyekundu au pengine ule weusi wa nywele...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Kwa wale wapenzi wa bracelets na cultures. Post your bracelets and cultures
1 Reactions
0 Replies
818 Views
Mambo, Tukumbushane vitu ambavyo mwanamke unatakiwa usikose kwenye kabati lako la nguo au dressing table yako Mimi naanza na black dress, mtoto wa kike jitahidi usikose nguo nyeusi hii itakupa...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba kupata sababu kama kumi kwanini Wanawake/wasichana wengi wa kiafrika wanapenda kuvaa mawigi siku hizi? Sababu moja tu kubwa niliyoisikia kutoka kwa wanawake ni kwamba wanadai wakivaa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu naombeni mnijuze mafuta ambayo yatamsaidia mwanamke kuondoa. 1. Chunusi usoni 2. Kung'arisha uso (isiwe kumchubua) 3. Pia kumuondolea mafuta mafuta usoni 4. Kumfanya awe soft soft hivi
1 Reactions
25 Replies
14K Views
Wanawake wengi wamebaini kuwa mwanaume unaweza kumkuta anang'aa uso, na sehemu zingine ila makalio yao yamepauka na wengine yanatoka ukurutu kwa sababu ni nadra sana kupaka makalio yao mafuta...
4 Reactions
59 Replies
32K Views
Katika race zote duniani nafikiri watu weusi ndiyo wanaongoza kuvaa kwa fasheni na kujipamba. Mambo ya mikufu mikubwa na ghali, pete nyingi, bangili na hereni ni kawaida kwao, hiki si kwa manaume...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom