Mimi ni mwanaume rangi yangu ni black by nature kuna baadhi ya lotion hua nikipaka huanza kuharibu asili yangu. Wakuu naomba kujuzwa ni aina gani ya ingredients ambayo ikiwa katika mafuta huathiri...
Warembo wangu mnatumia jinsi gani ya kupaka rangi ya mdomo?
Zifuatazo ni mkusanyiko wa picha za tutorials za kumake up mdomo.
(Warembo wa drama za Kikorea hupaka kama hivo)
(Rahisi mno!)...
Tukubali au tukatae lakini ukweli utabaki kuwa pale pale.
Wadada wote wenye nywele za bandia wana asili ya uchafu narudia asili ya uchafu. Nasema ni wachafu kwasababu nnapokwenda kuoga maji na...
Naombeni wadada tushee idea ya stlyle nzuri za kusuka msimu huu wa sikukuu.
Maweaving naona kama yanachosha pia joto sana rasta nazo vilevile.
Tutoke vipi? Naomba tupeane ushauri hapa
Ndugu wana jamvi, nawasalimu nyote,
Leo ni Jumpili, na maeneo nilipo ni njia inayotumika sana kupita watu wakienda kusali, Jana walipita wasabato nawacheki! Na leo walokole, maana makanisa yao...
Eti binti kwasababu amempa Yesu maisha (ameokoka) basi ndo haelewekiiiiii,[emoji134].. Uso alishaacha kupaka hata kapoda tu! Wanja ndo kabisa hagusi eti una mapepo, tehe;[emoji16]
Ukimkuta mdomo...
Naomba kujua ni lotion gani nzuri ya kukinga mionzi ya jua, jua likiwa kali uso wangu kwenye mashavu nakuwa mwekundu, mi napaka mafuta ya mgando mwili mzima, sasa nimeona nahitaji lotion au mafuta...
Wana ndugu majuzi nilikuwa airport kumpoke aabiria wangu gafla nikaona vijana wawili wote wamevaa hereni si mbaya...ila kuna mwingine huyu alikuwa amevaa kikuku kwa wale wanaojua ni hereni za...
Habari wanaJF,
Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua...
Mmoja wa hao warembo ni huyu hapa chini anayeitwa Damaris Lewis kutoka Brooklyn New York. Ni mwanamitindo anayesifika sana.
Halafu kuna huyu anayeitwa Arleni Sosa Pena...
Habari za mchana waungwana,
Huwa najiuliza huyu aliyevumbua bra aliwaza nini? Hebu fikiria kusingekuwa na bra hivi tungeishije wanawake...
Yaani bila bra wengine tusingetoka ndani...
Kudos kwa...
Fanya mambo yafuatayo ili hali hiyo isitokee tena.
√ kata nywele sehem za siri, kisha chukua maji ya ukoko wa ugali unawie sehem hizo zinazonuka( hakikisha unafanya hivi ukiwa umeoga) fanya Mara...
Habari za midaa hii?
Nina swali kidogo kwenu dada zangu, Je nina mwanaume gani alikwambia anapenda/ama anapendezwa na nitakavyoviorodhesha?
Kutoga masikio zaidi ya tundu moja,
Kutoga pua,
Kutoga...
Binafsi sijawahi kuacha nywele zikuwe. Maana ni zile nywele flan hivi wenyewe wanaita kipilipili.
Aisee ukiziacha wiki mbili zinakuwa kama unga wa sumaku[emoji1].
Halafu ukizingatia sijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.