Mko poa walimbwende,
Ngoja niwape darasa kidogo, kimsingi uvaaji wa nguo fupi kwa wanawake pia ni fasheni ya mjini nazungumzia gauni fupi,kimini au kikaptula(kichupi) ila nazungumzia zaidi vimini...
Habari zenu wakuu,
Naomba msaada,
Kwa wale wajuzi na wazoefu wa masuala ya mavazi. Nataka kujua rangi ipi ya nguo inaendana na ipi? Kwa mfano shati jekundu lina match na suruali gani?
Mwenye...
Habari zenu ndugu.
Wataalam wanasema mwanaume angalau uwe na hata jozi moja ya suti kenye kabati lako la nguo.
Ni ukweli usiopingika kua suti humfanya mtu alieivaa kuonekana wa tofauti ila watu...
Haya ninayoyaandika nimefanya mimi na nikaona matokeo yake ndani ya mwezi tu matumizi ya hinna ya unga na mayai.
Kila baada ya siku nne uwe na utaratibu wa kupakaa mchanganyiko wa hina na mayai...
Wakuu mimi binafsi natumia colget Advanced whitening kina ujazo wa 75mil si nyingi ila bei yake ni Tsh. 4,500 hii nzuri sana watoto wa Arusha utawakamata sana si unajua yale meno yao.
Je wewe...
WANAWAKE wengi watakiri kuwa nywele za sehemu za siri ni kero hasa katika kudumisha usafi au kuonekana nadhifu wakati wa mahaba.
Sababu hii imewapelekea wengi kutafuta mbinu na bidhaa mbalimbali...
Wanawake wengi nyonyo zao zimelala wengine inatokana na sababu ya kunyonyesha na wengine ni maumbile yao tu ndivyo yalivo.
Kwa wewe dada ambaye nyonyo tits zimelala na unataka zisimame fanya haya...
Heshima kwenu wadau.
Katika uzi wangu uliopita nilielezea jinsi unavyoweza kutengeneza mwili bila kuingia gym. Mazoezi yale yalilenga mwili wa juu, yaani kifua, mikono na mabega.
Jinsi ya...
Urembo huu ni moja kati ya mitindo yenye kupendeza na kuvutia.
Ni mtindo maarufu sana kwenye maeneo ya pwani hususani ni Tanga, Unguja, Pemba Dar es salaam na Mombasa, na hata kwenye maeneo...
Habari,
Leo katika urembo tunakuletea namna ya kufanya scrub kwa kutumia chumvi na maji ya baridi na kuonekana wa kisasa zaidi.
Utumiaji huu ni wa salama zaidi na watumiaji wamethibitisha swala...
Habari wadau..
Kiukweli mimi ni mkristo..
Ila napenda sana wadada wa kiislamu wanavyovaa mavazi yao na ushungii
Yaani yana staha sana na yanafanya uone mumewe anaenjoy sana..
Unamkuta mdada...
Kwa wasichana ambao wanaona kuwa maisha hayawezi kuwa matamu bila kunenepesha makalio, mapaja na matiti yao, ni busara kufanya hivyo kwa njia za asili zisizokuwa na madhara kwa afya zao. Sehemu...
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
Nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia hadi nyumba inanukia vile
Nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka...
Udongo (100% Natural) wa asili, Zainab's Natural Super Clay, mzuri sana kwa ajili ya kulainisha ngozi ya usoni na mwilini na kufanya ngozi iwe nyororo na ya kupendeza, sasa unapatikana sehemu...
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana.
Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.